ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
- Thread starter
-
- #21
Mfumo Wa barca sio mfumo Wa timu ya taifa ya Argentina(messi)Mbona timu yake ya Taifa ya Argentina inapigwa katika mechi za kombe la Dunia? Au huyo huwa Mesi wa kuchongwa? Barca ni nzuri sababu ya combination ya wachezaji wengi wazuri bhana.
Makosa haya yanajirudia sana kumbuka hii ndio game ya 4 tunapoteza katika msimu huu wrote makombe yoteWakuu!ndio tushapoteza hivyo,haina haja ya kuanza kublame hiki na kile.ile chance ya dembele nilijua itatucost mwaka mzima asee.na jana ilikuwa ni hivyo hivyo watu wanamiss clear chance.huu ndio mpira sasa huwezi kushinda daily ni must kuna siku bahati haitodondoka upande wako,SO KEEP IT UP BARCA [emoji1548][emoji1548][emoji1548].
Hapana nou camp tulikua vizuri tulicheza kutafuta ushindi ila game hii ya Jana tulicheza tu kama vile tunakamilisha ratiba liver wakacheza do or dieWana Barca,mnaweza kujadili ile mechi ya kwanza??Mimi niliona Barcelona alipata matokeo bora lakini ukitizama game nzima Barca ilikuwa dhaifu sana,Kuna wakati Barca alizidiwa possession kubwa tu,kuna wakati Barca ilipaki basi,Barca walicheza dk 20 tu za mwisho.Udhaifu ulikuwapo tangu game ya mwanzo ila matokeo yalifunika udhaifu
Ni uzembe unaojirudia ndio maana nasema kunatakiwa watu wawajibishwe paleVip kuhusu mwaka jana mlivyotolewa na ROMA???...vip tena mlivyotolewa na JUVE mwaka juzu....Nyinyi mechi za ugenini ni mamburura...
Kabisaa yaani maana hawa Team Messi walimdhihaki sana cr7 wetuu...tena wao wametoka na aibuuNikiwa kama shabiki wa Cr7 nimefurahishwa sana na matokeo ya jana
Messi kawa panyaaaaSISI BARCELONA WENZAKO TUMEUNGA JUHUDI ZA JOGOOO NA MESSI SIO GOAT TENA NI MEEEEEEE
Barcelona hii ndio kwisha habari yake, tatizola kumtegemea mtu mmoja!Sijalala hadi saa 9 usiku huu sijaamini kilichotokea,hivi kweli?
Tukubali hapa tumefungwa kizembe japo uwezo tulikua nao,sababu nilioziona
(1) Over confidence-tuliamini kuwa game
Ile ilishakwisha,tukacheza kwa Ku relax
Liver wao wakacheza Do or Die....
(2) Ubaguzi Wa kuwatenga wac
hezaji weusi nayo imetukosti,Dembele
japo alikua majeruhi Ila anatengwa na
ndio kisa walimpanga mechi ya ligi isiy
o na tija akaumia..tumemkosa Jana
Semedo anaingizwa baada ya kuona
mambo yashaharibika wakati dogo an
ajituma mno.
(3). Ule Uzi Wa njano ni mikosi Siku zote .
(4). Kuna baadhi ya wachezaji wengi ni m
Mizigo sijui wanasajiri vipi?
Lenglet,Arthur,Suarez, G.Pique hawa ni
Bora wauzwe wote tumrudishe
Neymar mmoja ni wazito sana hawa,akina boateng,tornado,vermalen,yule mbrazil kwanini waliletwa ikiwa uwezo chini?
Nimeumia sana kupoteza tonge mdomoni na kwa hili na uzembe wote huu kocha huyu anapaswa kujiuzuru,Liver hawaamini kama wameshinda kila mtu haamini!!!
Vipi maoni yenu barca wenzangu?
Wana Barca,mnaweza kujadili ile mechi ya kwanza??Mimi niliona Barcelona alipata matokeo bora lakini ukitizama game nzima Barca ilikuwa dhaifu sana,Kuna wakati Barca alizidiwa possession kubwa tu,kuna wakati Barca ilipaki basi,Barca walicheza dk 20 tu za mwisho.Udhaifu ulikuwapo tangu game ya mwanzo ila matokeo yalifunika udhaifu
Mbeleko ndiyo huwa inawabeba tu lkn ni wepesi kama manyoya ya kuku.Vip kuhusu mwaka jana mlivyotolewa na ROMA???...vip tena mlivyotolewa na JUVE mwaka juzu....Nyinyi mechi za ugenini ni mamburura...
Waliona washachukua kombe[emoji23][emoji23][emoji23]Kabisaa yaani maana hawa Team Messi walimdhihaki sana cr7 wetuu...tena wao wametoka na aibuu
Hivi mnajua tulivyoumia miyoyoni kweli?hebu tuacheni bado barca ni boraWaliona washachukua kombe[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabla ya Messi kulikuwa na RonaldinhoWatu ni wepesi sana wa kusahau matukio. Mnajuwa Barca kabla ya Messi haikuwa timu ya maana Ulaya, walikuwa ni vibonde mno kila timu ilikuwa inajpigia tu. Messi ndiye aliyeifanya Barca kuwa ilivyo hivi sasa, kama hachezi vizuri Barca hakuna kitu. Jana aliyumba sana na alidhibitiwa ile mbaya. Kwa kifupi, Barca bila Messi si timu.
Ona Sasa matatizo ya kubet hayaSijalala hadi saa 9 usiku huu sijaamini kilichotokea,hivi kweli?
Tukubali hapa tumefungwa kizembe japo uwezo tulikua nao,sababu nilioziona
(1) Over confidence-tuliamini kuwa game
Ile ilishakwisha,tukacheza kwa Ku relax
Liver wao wakacheza Do or Die....
(2) Ubaguzi Wa kuwatenga wac
hezaji weusi nayo imetukosti,Dembele
japo alikua majeruhi Ila anatengwa na
ndio kisa walimpanga mechi ya ligi isiy
o na tija akaumia..tumemkosa Jana
Semedo anaingizwa baada ya kuona
mambo yashaharibika wakati dogo an
ajituma mno.
(3). Ule Uzi Wa njano ni mikosi Siku zote .
(4). Kuna baadhi ya wachezaji wengi ni m
Mizigo sijui wanasajiri vipi?
Lenglet,Arthur,Suarez, G.Pique hawa ni
Bora wauzwe wote tumrudishe
Neymar mmoja ni wazito sana hawa,akina boateng,tornado,vermalen,yule mbrazil kwanini waliletwa ikiwa uwezo chini?
Nimeumia sana kupoteza tonge mdomoni na kwa hili na uzembe wote huu kocha huyu anapaswa kujiuzuru,Liver hawaamini kama wameshinda kila mtu haamini!!!
Vipi maoni yenu barca wenzangu?
Mmefurahi haswaaaaWaliona washachukua kombe[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabla ya Messi kulikuwa na Ronaldinho