Barcelona yafuta ‘Uteja’ kwa Real Madrid baada ya miaka 88

Barcelona yafuta ‘Uteja’ kwa Real Madrid baada ya miaka 88

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Ushindi wa goli 1-0 wa Barcelona dhidi ya Real Madrid ukiwa ni ushindi wa pili ndani ya siku 3, unaifanya Barcelona kuwa timu ya kwanza katika Historia ya Ligi Kuu nchi Uhispania kushinda mechi nne mfululizo katika dimba la Santiago Bernabeu

91EBDD62-DB4A-44FE-9ACF-3BCE33570D6E.jpeg


Kutokana na goli pekee lililofunga na Kiungo Ivan Rakitic, Barcelona sasa inaendelea kuongoza ligi ikiwa na alama 60, alama 10 zaidi ya Atletico Madrid iliyo nafasi ya pili na alama 12 dhidi ya Real Madrid iliyo nafasi ya tatu

Ushindi huo unaifanya Barcelona kuongoza kuifunga Real Madrid kwa mara ya kwanza kwa miaka 88 katika michezo yote waliyocheza ambapo sasa imeshinda michezo 96 huku Madrid ikishinda michezo 95

D3FFE4C3-6155-467C-9055-D2DA220A2DF3.jpeg


Aidha, Kocha wa Madrid, Santiago Solari anakuwa Kocha wa kwanza kuinoa klabu hiyo na kushindwa kushinda katika michezo yake mitatu ya mwanzo dhidi ya Barcelona(L2 D1) tangu Leo Beenhakker aliposhindwa naye mwaka 1987(D2 L2)

C50E550D-E1E0-4DF7-8F25-8E9DA400E595.jpeg
 
Ushindi wa goli 1-0 wa Barcelona dhidi ya Real Madrid ukiwa ni ushindi wa pili ndani ya siku 3, unaifanya Barcelona kuwa timu ya kwanza katika Historia ya Ligi Kuu nchi Uhispania kushinda mechi nne mfululizo katika dimba la Santiago Bernabeu

View attachment 1036724

Kutokana na goli pekee lililofunga na Kiungo Ivan Rakitic, Barcelona sasa inaendelea kuongoza ligi ikiwa na alama 60, alama 10 zaidi ya Atletico Madrid iliyo nafasi ya pili na alama 12 dhidi ya Real Madrid iliyo nafasi ya tatu

Ushindi huo unaifanya Barcelona kuongoza kuifunga Real Madrid kwa mara ya kwanza kwa miaka 88 katika michezo yote waliyocheza ambapo sasa imeshinda michezo 96 huku Madrid ikishinda michezo 95

View attachment 1036723

Aidha, Kocha wa Madrid, Santiago Solari anakuwa Kocha wa kwanza kuinoa klabu hiyo na kushindwa kushinda katika michezo yake mitatu ya mwanzo dhidi ya Barcelona(L2 D1) tangu Leo Beenhakker aliposhindwa naye mwaka 1987(D2 L2)

View attachment 1036725
Miaka 88 au 87?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiachana na hiyo Baloteli aliwahi sema kuwa "Barcelona ndo club pekee ambayo ina viwanja viwili,camp nou kwa ajiri ya mazoezi na Santiago bernabeu kwa ajiri ya machi"
Ushindi wa goli 1-0 wa Barcelona dhidi ya Real Madrid ukiwa ni ushindi wa pili ndani ya siku 3, unaifanya Barcelona kuwa timu ya kwanza katika Historia ya Ligi Kuu nchi Uhispania kushinda mechi nne mfululizo katika dimba la Santiago Bernabeu

View attachment 1036724

Kutokana na goli pekee lililofunga na Kiungo Ivan Rakitic, Barcelona sasa inaendelea kuongoza ligi ikiwa na alama 60, alama 10 zaidi ya Atletico Madrid iliyo nafasi ya pili na alama 12 dhidi ya Real Madrid iliyo nafasi ya tatu

Ushindi huo unaifanya Barcelona kuongoza kuifunga Real Madrid kwa mara ya kwanza kwa miaka 88 katika michezo yote waliyocheza ambapo sasa imeshinda michezo 96 huku Madrid ikishinda michezo 95

View attachment 1036723

Aidha, Kocha wa Madrid, Santiago Solari anakuwa Kocha wa kwanza kuinoa klabu hiyo na kushindwa kushinda katika michezo yake mitatu ya mwanzo dhidi ya Barcelona(L2 D1) tangu Leo Beenhakker aliposhindwa naye mwaka 1987(D2 L2)

View attachment 1036725

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom