Barcelona yaichanachana PSG, yaweka rekodi mpya Ulaya

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Barcelona imeichanachana PSG kwa kuizaba mabao 6-1 na hivyo kusonga robo fainali kwa mabao 6-5. Katika mchezo wa kwanza,Barca walizabwa mabao 4-0

Barcelona imeweka rekodi mpya kwenye michuano ya Mabingwa Ulaya kwa kuwa timu ya kwanza kupindua matokeo ya tofauti ya mabao 4.

Premier League mko wapi muige upambanaji wa La Liga giants?
 
Zile penalty mbili zote hakuna penalty halali ila matokeo yalikuwa ni 4-1
 
Reactions: PNC
Serious siyo kila record ni ya kushangilia, kuna baadhi ya wanariadha wamewahi kuvunja record baada ya miaka kadhaa ilibainika walikuwa wakitumia dawa za kuongeza nguvu, hilo likapelekea kufutwa kwa record zao. Hata hii ya Barcelona time will tell ngoja tusubiri tu
 
Mpira ni mbinu. Walifanya kila mbinu wamecheza mpira na wameshinda. Na historia imewekwa. Zinaweza kuwa timu nne za spain robo fainali. Illa barca wamefanya miujiza. HISTORIA IMEWEKWA- BEALIVE IT AND THEY HAVE DONE IT.
 
Watu wakununua game hawa
Utawaweza co
Kwa zle penalty za uongo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
dua la kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…