Kati ya cozi tajwa hapo juu ni ipi unadhani inalipa zaidi ukiwa tanzania?kama vipi 2pia na salary yake kama unaijua ili kuwapa mzuka madogo zetu wasome sana [updated-boy]
Chambua moja moja ili kuwaweka wadogo zetu aware.,na ili wasome sana! [updated-boy]
Chambua moja moja ili kuwaweka wadogo zetu aware.,na ili wasome sana! [updated-boy]
Chambua moja moja ili kuwaweka wadogo zetu aware.,na ili wasome sana! [updated-boy]
mkuu hizi topic zako hauzichoki??..
kwa iyo kama salary ni ndogo hawatakua na mzuka wa kusoma?sidhani kama ni sahihi mtu kuchagua kozi fulani eti kuangalia salary scale yake ni kubwa,ndio maana tunaishia kupata watalaamu uchwala.
cha muhimu ni mtu kusoma kitu anachokipenda kwa dhati+anachokimudu vyema,mafanikio yanapatikana kwa kozi yoyote ile na kumbuka maisha hayana formula.
kuna watu walizaliwa kusoma sayansi ata ukisema sheria wanalipwa 20m per month,hawataonyesha interest yoyote ile kusoma masomo ya arts. vile vile kuna watu walizaliwa kusoma arts ata ukisema enjinia,madaktari wanalipwa 20m per month hawataonyesha interest ya kutaka kusoma masomo ya sayansi.
kama interest ni kuwafanya wasome sana kwa nini umetaja kozi nne tu(BVM,MD,CIVIL,LAW) je wenye kutaka kujua information za kozi nyingine watapata wapi ili wawe motivated kusoma kama(political science,geology,sociology,pharmacy,procurement,wildlife, nurse, edcation etc)
mkuu hizi topic zako hauzichoki??..
mvumilie tu bado anakua.
kuna watu walizaliwa kusoma sayansi ata ukisema sheria wanalipwa 20m per month,hawataonyesha interest yoyote ile kusoma masomo ya arts. vile vile kuna watu walizaliwa kusoma arts ata ukisema enjinia,madaktari wanalipwa 20m per month hawataonyesha interest ya kutaka kusoma masomo ya sayansi.
sheriaaaa ndioo mpangooo mzimaaaa
very true
mimi leo unambie sijui nikasome sijui banking and finance, sijui accounting
hata wanilipe 50m siendi
Sheriaaaaaaa ndio mpango mzima wakili na daktari nani zaidii? ,mwanasheria wa kampuni na daktari wa KCMC nani zaidi ?? ,
ndio lawyer anaweza kumsaidiaa mke wangu kama ni mjamzito kwa mfano ,manesi wakimdhalilisha ,akidaiwa rushwa na daktari, akizalishwa vibaya.,bt mpigamsuli kumbuka kuwa a doctor may save u when u get accident,je lawyer anaweza kumsaidia mkeo akiwa mjamzto? Updated-boy
ndio lawyer anaweza kumsaidiaa mke wangu kama ni mjamzito kwa mfano ,manesi wakimdhalilisha ,akidaiwa rushwa na daktari, akizalishwa vibaya.,
pasipo na sheriaa unafikiri ingekuwaje?