BARCHELOR OF VETERNARY MEDICINE [BVM] na HUMAN MEDICINE [MD] ,CIVIL ENGENEERING na BARCHELOR OF LAW

Maneno mazuri hayo mdau kwa maana nyingine lazima mtu ajue malengo ya fani anayotaka kusoma hayo ya fedha ni mengineyo na ni ngumu kupima mafanikio ya mtu katika fani flani na kupiga buku ili uje kuwa kama yeye. Tatizo tangu uhuru tumeandaliwa kuwa waajiriwa na matokeo yake tunafakia hapa kuchambua kila fani huku tukisahau kwamba maisha tunayoishi whether ya utajiri au umaskini ni uchaguzi wetu wenyewe. Fani yoyote hata kama umesomea cookery inamtoa mtu kama utakuwa na akili ya ziada ya kile ulichojifunza shule kwani sifa ya msomi si kozi wala marks alizopata bali ni namna gani anamudu kuelewa mazingira yale anayoishi na kuchukua hatua ya namna gani anaweza kuchomoka kimaisha na ndio maana unaweza ukakuta mtu amesoma nursing akafanya kazi nyingine kabisa tofauti na kile alichosomea
 

umesomeka mkuu,updated-boy
 
hii ndio point ya msingi!!!! na nna kuunga mkono kwa asilimia mia!!!!
mkuu moes hapo ndipo jamaa alipojichanganya!!! na si kosa lake maana mada nyingi humu jukwaani watu wanabase kwenye ushabiki....na asingeweza toa kada nyingine maana kichwani kwake anachowaza duniani ziko hizo field nne tu hapa duniani!!!
 
Last edited by a moderator:

sawa kabisa mkuu,nimekupata vizuri kabisa.
 
[QUOTE said:
lugano5;7407345]Kati ya cozi tajwa hapo juu ni ipi unadhani inalipa zaidi ukiwa tanzania?kama vipi 2pia na salary yake kama unaijua ili kuwapa mzuka madogo zetu wasome sana [updated-boy
][/QUOTE]
MTU MWENYEWE FIRST YEAR ETI "kuwapa mzuka madogo zetu wasome sana"......................si ndio wewe mwenye cut-off point ya 3 alafu unataka usome BVM?..................
 
Law ndio mpango mzima madaktari wanaishia kuwa masikini mpaka wanaandamana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…