Baridi ya Njombe yahatarisha maisha, Dereva ashindwa kuendesha gari kutokana na Barafu

Baridi ya Njombe yahatarisha maisha, Dereva ashindwa kuendesha gari kutokana na Barafu

Nilikuwa huko nimepata mafua ambayo hayajapona mpaka leo kudadadadeki
Duu bora unesema,nilikuwa sijui kama baridi husababisha mafua yasiyopona haraka.
Kwasasa napitia hali ngumu ya mafua makali ni mwezi sasa!
Kisa hapo nyuma nilikuwa nikiwndesha pikipiki mida ya asubuhu na maeneo hayo kuna baridi kali.Mpaka sasa nimeanza kuhofia kuwa kinga yangu ipo chini,kumbe ni baridi!!
 
Hii baridi ya mwaka huu ni noma Sana, 👇

----

View attachment 2280883

Ikiwa bado hali ya hewa ya baridi kuwa kali katika baadhi ya maeneo nchini ikiwemo Mkoa wa Njombe kupelekea shughuli za kiuchumu kuwa na ugumu katika utekelezwaji kutokana na wakazi wa maneno hayo kupunguza muda wa kufanya kazi kwa kutafuta vyanzo vya joto sasa leo hizi picha na video kutokea Wilaya ya Makete ushuhudie Baridi lake huko katika hifadhi ya Taifa Kitulo.

Mimi nasubiri ukanda ulee waje kufananisha baridi ya njombe na ya ukanda wao ipi kali 😁😁 hili battle ni balaa aise, nasubiri hapa.
 
Duu bora unesema,nilikuwa sijui kama baridi husababisha mafua yasiyopona haraka.
Kwasasa napitia hali ngumu ya mafua makali ni mwezi sasa!
Kisa hapo nyuma nilikuwa nikiwndesha pikipiki mida ya asubuhu na maeneo hayo kuna baridi kali.Mpaka sasa nimeanza kuhofia kuwa kinga yangu ipo chini,kumbe ni baridi!!

Halafu tunawashangaa na kuwacheka wazungu wanapata mafua😁 sometimes sifa zinaumbua mtu
 
Back
Top Bottom