Lol taarabu na kibao kata kama kawa kumekucha....umeumia roho tu sie tutasikiliza na kudansia
Kizuri sifia nawe utaona mazuri kwako.
Barnaba nae aache kuvaa nguo za watoto.
Vipi wewe ulisifia mwimbo wa kiba au wanjera hahaha mi si mkata viuno bana twaaarab no no no nimekuachia weye mpenda majungu
namuunga mkono barnaba pale kwa chibu hakuna mziki ndio nilisema juzi kuwa anabebwa na mapromo tu watu wakanishambulia hatari,nikasema aende kwa KIBA afundishwe mziki bado nikashambuliwa haya sasa barnaba nae kasema mshambulieni nae
Vipi wewe ulisifia mwimbo wa kiba au wanjera hahaha mi si mkata viuno bana twaaarab no no no nimekuachia weye mpenda majungu
Haya makasheshe na wanawake yatampoteza dogo, badala ya kuwaza muziki ye anawaza kushindana na watalaka wake na scandal zao, mara bifu na alikiba, pia naskia ana nyodo sana now days hasa katika malipo ya show zake, naliona anguko lake
Duh kila anayetoa ushauri adui wa domo haya endelea kuimba twaaarab tuone kama utafanyia shoo kwenye majukwaa hahahahahahah!
Mti wenye matunda ndio wenye kupigwa mawe...mbona hawamjadili GK, Kalapina,n.k....
Nimekusoma maelezo yako mwanzo hadi mwisho... kwanza umechanganya vitu viwili... mosi, umechanganya kama ambavyo watu wengi wanavyochanganya kwamba kuwa mwanamuziki ni kufahamu kupiga ala... hiyo sio tafsiri sahihi ya mwanamuziki... hapo unamzungumzia instrumentalist! Muziki unaundwa ama na vocalist au instrumentalist or both wakati wewe tafsiri yako umemu-exclude vocalist moja kwa moja.fatilia maelezo yangu kwa makin
Wewe sasa ndo unataka kuipotosha kauli ya Barnaba ili watu wamuone mbaya! Barnaba amesema Diamond hajui kuimba au amesema hajui kuimba kiufundi? Sasa kama hajui kuimba inakuwaje tena anasema miongoni mwa wasanii anaowakubali ni pamoja na Diamond?Masikini Barnaba! Bora ungebaki na hili jambo moyoni tu maana wenzio huku tuna maadui wengi sana kisa kusema ukweli kua Diamond sio mwanamuziki na hajui kuimba!
binti kiziwi, trust me my dear, Diamond atawapa watu ugonjwa wa moyo nchi hii. Halafu hakuna kinachonishangaza kama kuona miongoni mwa wengi wanaoumia ni wanaume... yaani mwanaume unakuwa na wivu wa mafanikio ya mwanaume mwenzako... am feeling very sorry for them! Wakati wengine hapa kila cku tunaumiza kichwa, kulala hatulali ili tufike mbali zaidi ya pale alipofikia Diamond kwenye kile tunachokifanya, wengine wanahangaika kusubiri waone fulani na fulani anaanguka!!!We mgeni Tanzania eeh? No wonder bado unatabiri anguko la Diamond, wenzio wameanza kupiga ramli since 2010. Kiko wapi? Chukueni vigoda mkae msubiri.
Twende taratibu kijana... Mosi, Je unaufahamu muziki? Kama unaufahamu, muziki ni nini? Na kwa maana hiyo, mwanamuziki ni nani au tafsiri ya mwanamuziki ni ipi? Tuanzie hapo kwanza!namuunga mkono barnaba pale kwa chibu hakuna mziki ndio nilisema juzi kuwa anabebwa na mapromo tu watu wakanishambulia hatari,nikasema aende kwa KIBA afundishwe mziki bado nikashambuliwa haya sasa barnaba nae kasema mshambulieni nae
Mara kwa mara watu wanachanganya sana haya mambo kwa sababu wengi wanaongea vitu kwavile walisikia mahali na wala hawana utaalamu wa jambo lenyewe! Katika hili, wengi sana utawasikia fulani sio mwanamuziki bali ni muimbaji! Kwa mtaalamu wa muziki akishakusikia unatoa hiyo hoja moja kwa moja anafaamu kwamba taaluma ya muziki hauifahamu!
Jambo la kwanza watu wanalotakiwa kulifahamu ni kwamba mwanamuziki anatokana na muziki! Kutokana na hilo, mtu anaye-perform muziki ndie anaitwa mwanamuziki! Ukirudi kwenye muziki wenyewe, pia unagawanywa katika makundi mawili makuu, vocalists yaani waimbaji na instrumentalists ambao ni wacheza ala za muziki! Ukitaka kusema mwimbaji sio mwanamuziki ni kwamba unataka kusema mpiga ala peke yake ndie mwanamuziki wakati hata tafsiri rasmi ya muziki ni kwamba "ni sauti/vocal au ala au mchanganyiko wa vyote kwa pamoja..." Kwahiyo hata mtu anayefanya akapela peke yake, kwa kuzingatia tafsiri ya muziki nae ni mwanamuziki na mwanamuziki wala sio kutembea na gitaa!
Aidha, huyu muimbaji hata kama hafahamu kupiga ala bado katika uimbaji wake analazimika kufuata ala za muziki kama ambavyo wakati mwingine mpiga/waiga ala za muziki (w)anapolazimika kutengeneza ala kulingana na uimbaji wa vocalist na ndio maana hata muimbaji akienda studio na hana uzoefu, kitu cha kwanza atakachoambiwa aimbe akapela ili mtengeneza beats afahamu ni beat za aina gani anaweza kwenda nazo! Ni kama ambavyo mpiga tumba, guitar, saxophone, violin, keyboard na kadhalika anapolazimika kubaki kwenye kifaa chake (eneo moja la muziki as instrumentalist) ndivyo muimbaji anapolazimika kubaki kwenye eneo lingine la muziki as vocalist!
Hoja ya Barnaba angekuwa ameongea kitaalamu angesema Diamond sio profession musician na kimsingi, alichokisema Barnaba kinamaanisha hivyo kwamba Diamond sio professional musician kwa sababu kutokujua kuimba sio kigezo cha kutokuwa mwanamuziki! Profession musician ni yule ambae amesomea muziki, anafahamu staff, notes na clefs kwenye muziki na maana na pia application zake! Hizi staffs, clefs na notes nazo zimegawanyika hadi unachanganyikiwa! Na katika hili, I doubt kama kuna mwana bongo flavor tunayeweza kumuita professional musician... katika hili ni lazima uende music school!
Tofauti ya Barnaba na wamamuziki wengine (including Diamond) ni kwamba, tukichukua pande mbili za muziki, kwamba ni uimbaji na uchezaji ala, Barnaba ni mwimbaji na vile vile ana "idea" na baadhi ya ala za muziki wakati wengine wengi ni waimbaji peke yake!
Bila kumtaja Diamond wanajua interview itaishia kwenye matundu ya masikio ya watu....
Chibu oyeeeeeeeeee wapelekesheeeeeeeeeeeeee
Lazima huyu anatumia Chibu keshokutwa tutasikia anatoa nyimbo mpya
Mwaka huu mondi hapati tuzo kilimanjaro, chezea wabongo wasivyopenda mashauzi
Mwaka 2005 wakati Jakaya Kikwete aliposhinda kwa kimbunga, kuna watu walihojiwa including Profesa Lipumba! Moja ya amazing comments ni pale baadhi ya watu waliposema "huyu Kikwete sijui ana power ya aina gani... manake unakuta mtu unajiandaa kwenda kumpigia kura ya HAPANA lakini unajikuta umemwekea kura ya NDIYO!!!! Haya ndiyo yatatokea kwa Diamond mwaka huu... manake wengine wataanza kutuma message kwa fujo kwa hata wasiostahili ili kura za Diamond zisitoshe lakini watajikuta wanampigia yeye kutokana na kiwewe!!!Kwa hii nasema nawe lazima achukue kumi za Kilimanjaro maana kagusa mioyo ya watanzania wengi
namuunga mkono barnaba pale kwa chibu hakuna mziki ndio nilisema juzi kuwa anabebwa na mapromo tu watu wakanishambulia hatari,nikasema aende kwa KIBA afundishwe mziki bado nikashambuliwa haya sasa barnaba nae kasema mshambulieni nae