Barnaba: Diamond sio Mwanamuziki

Mpenda majungu ni wewe unaye quote na kuandika ----- au nyie mlio na majungu Tanzania style ya kutungia mtu uongo na pia kulazimisha maneno.

Sasa kiba kaingiaje....

Haya mbele elekea....

Mfalme anaimba twaarab nishasema mabifu na migogoro ya wanawake itamponza ona sasa, kaanza kuwasuta kwenye nyimbo, bye bye mfalme tulikupenda, ila mademu walikupenda zaidi
 
Chukua kiti ukae usubiri adondoke unawashwa kipi kuingia nyuzi za daimond shindwa na ulegeeee cc matumbo

Kwa nini nisiingie kumwambia dogo mabifu yanampoteza hadi kaanza kusuta watu hahahahahha dogo anaishi kwa visasi sasa but deep inside he is not happy. Pole mfalme
 
Last edited by a moderator:
We mgeni Tanzania eeh? No wonder bado unatabiri anguko la Diamond, wenzio wameanza kupiga ramli since 2010. Kiko wapi? Chukueni vigoda mkae msubiri.

Mimi sio mgeni bibie na ndio maana nimeongea hayo, diamond wa 2010 siyo huyu aliye na migogoro inayomsumbua si kwenye muziki, si kwenye mahusiano, na.anachofanya sasa ni kuwaprove wrong wabaya wake, hahaha ndo maana kaanza imba majungu, tutaona mwaka huu kama atakusanya tuzo kama za mwaka jana. Tehteh
 

Dua la kuku halimpati mwewe iv huoni ka uko peke ako haman mtu mwenye hati miliki ya wimbo wowote ataimba kile mashabik tunataka pyeeeeee
 

Huoni kuwa hayo ni mawazo yako tu. Nadhani hayana madhara yoyote kwenye muziki wa chibu.
 
Dua la kuku halimpati mwewe iv huoni ka uko peke ako haman mtu mwenye hati miliki ya wimbo wowote ataimba kile mashabik tunataka pyeeeeee

Kwa hiyo safari hii mlitaka twaarabu, basi sawaaa kateni viuno watoto wa kibongo
 
So what? Kwan Diomond anakula kwa Barnaba? Au anamwombaga nn, hela? Haka kajamaa nako kanakuwa km kadem, lol!
 
namuunga mkono barnaba pale kwa chibu hakuna mziki ndio nilisema juzi kuwa anabebwa na mapromo tu watu wakanishambulia hatari,nikasema aende kwa KIBA afundishwe mziki bado nikashambuliwa haya sasa barnaba nae kasema mshambulieni nae

Kwahiyo? Anakulaga kwako? Mbona unatumia nguvu nyingi kwa akili chembe kumsema mwanaumee, anakuhusu nn mkuu?
 
Waacheni watu na nyota zao jaman chibu bado sana kuanguka. Kwenye interview zote nilizosikiliza za watanzania tofauti tofauti iwe wanaishi hapa au ata nje ya nchi kila mtu anamkubali diamond, tukatae tukubali mchizi ametangaza vema nchi yetu kuna watu walikua hawaijui Tanzania ila kupitia diamond wameifahamu. Sio kila kitu tuendeshwe na wivu penye kusifia tusifie. Barnaba endelea kuzingatia sheria za music huku mshkaji akiendelea kupata mafanikio na kulitangaza taifa letu duniani hvyo mtakua mmegawana majukumu vilivyo hahahahaha
 

huyu dogo nae kuimba magube gube na kujua kupiga gitaa ndo anajiona mwanamuziiiiiikiiiiiii........ndio maana hafiki kokote kila mwaka yuko palepale tu!
 
Mwaka huu mondi hapati tuzo kilimanjaro, chezea wabongo wasivyopenda mashauzi

achana na mtu aliyekwisha ngoa tunzo 7 per one night, unataka arudi Kilimanjaro awards kufanya nini na wakati za BET zinangoja??
 
kila mtu akitaka kutoka njia yake ya mkato ni Daimond sio kibba kwa kuwa ndo habari ya mjini. halafu watu amujui kama lengo lenu afe kimuziki musiwe munamtaja au kumuandika kwasababu kadri munavyoendelea kumtaja ndo kwa asili ya binadamu tunavyotaka kumjua zaidi kwahiyo hata nyinyi munaojiita team kibba hamumtendei haki kibba kwasababu hamumtaji yeye ila munamtaja Daimond. (rejeeni wanamuziki wa marekani wakitaka promo watapiga hata mtu wapelekwe jela lakini wamepata promo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…