..jaman MTU unaweza kuonekana kituko MTU mzima kushabikia tangazo lakin hawa jamaa(Barnabas classic vs christian bella wamelitendea haki hili tangazo LA NyAka Nyaka Bonus
Hakika hawa washikaji wameimba .mtu yoyote mwenye feeling na mziki mzuri atakua ameona uwezo wa hao miamba wawili