don williama
Member
- Dec 7, 2015
- 48
- 72
Jaman unaweza kuonekana kituko mtu mzima kushabikia tangazo lakini hawa jamaa(Barnabas classic na Christian Bella wamelitendea haki hili tangazo la Nyaka Nyaka Bonus
Hakika hawa washikaji wameimba mtu yoyote mwenye feeling na mziki mzuri atakua ameona uwezo wa hao miamba wawili
Hakika hawa washikaji wameimba mtu yoyote mwenye feeling na mziki mzuri atakua ameona uwezo wa hao miamba wawili