Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa na sh ngapi kwa tz300 mln $sio haba
QUOTE="Petro E. Mselewa, post: 24025174, member: 116264"]Kwa kitakachopatikana kutokana na mfumo mpya,hata noah ni jambo dogo.
Utasikiaje wakati umeweka ear plug masikioni mwako?Mbona sijasikia kuhusu yale mapesa tunayowadai?
QUOTE="Petro E. Mselewa, post: 24025174, member: 116264"]Kwa kitakachopatikana kutokana na mfumo mpya,hata noah ni jambo dogo.
Akili kubwa ya kubadili gear angani?[/QUOTE]Petro, NI VEYMA ukawa rational. Ulitegemea wagomee taratibu mpya za uwekezaji katika nchi ya ugeni? Tulikuwa tunaaminishwa kwamba tunadai malimbikizo ya arrears kutokana na under declaration ya mapato ambayo ilikuwa ni zaidi ya dolla trillion 400. Wamekubali kulipa dola 300 kama good will!. Ziko wapi fidia za wizi ule ulioasisiwa na ccm?
Hivi kweli ulitegemea ccm wale wale waasisi wa wizi ndio wabadilike waje na mkakati wa kulipwa fidia za wizi walioushiriki wao wenyewe?
Unaposema wamevuka malengo!. Malengo waliyovuka ni yapi? Trillion 400 USD hazikuwa moja ya malengo?
CCM WANAPASHWA KUACHA KUJIDHANIA WAO NDIO WENYE NCHI. WASHIRIKISHE BRAINS KUBWA ILI KUPATA MATOKEO MAKUBWA YA PAMOJA. VINGINEVYO ITAKUWA TANZA FEDHEHA SIKU ZOTE.
Bro andiko zuri ila unajua Tirioni USD ni sawa na Tsh ngapi za kitanzania? Nadhani ulimanaanisha dola billioni na sio Dola Tirioni[/QUOTE]Akili kubwa ya kubadili gear angani?
Wanajua kila kitu, wanajifanya wendawazimu, wala usipoteze muda wakoWatu wanaishia kuongelea $300 mil hawaoni faida nyingine! Lol kweli watanzania sisi akili zetu ni zetu tu.
Hii ni kama interim agreement. mengine mengi yaja.
Bro andiko zuri ila unajua Tirioni USD ni sawa na Tsh ngapi za kitanzania? Nadhani ulimanaanisha dola billioni na sio Dola Tirioni[/QUOTE]Akili kubwa ya kubadili gear angani?