Barrick Gold loses appeal vs 160bn/- tax evasion ruling

Nimesema sawa mbona bado povu? Unahangaika kuandika maneno mengi..Umeshinda..
 
Unaandika pumba humu halafu unataka usiambiwe. Hakuna anayehara humu lugha zako za kutaka kuonyesha wewe ndiye unayeandika mambo ya maana na wengine wanahara hazina nafasi humu.

Kama hupendi michango ya akina Salary Slip na wengineo basi pita kimya kimya badala ya kutaka kuwadhalilisha kwamba wanakuja kuhara kwenye threads. Na kwa taarifa yako sitafuti ushindi humu wa namna moja au nyingine.

Wewe bado unahangaika na mimi tu? Mbona nishakupotezea kitambo.
 
Ungejua kuhusu mimi usingeandika huu upuuzi kwamba hakuna ninachokijua kwenye uzi huu. Kutaka kumpa credit Magufuli katika kesi ambayo yeye hahusiki hata chembe si sawa hata kidogo. Ukweli lazima siku zote usemwe bila kuficha.

Usimpe nafasi ya kujibizana na wewe, jaribu kumpuuza! Kwa sababu hana jambo analolifahamu kwenye huu uzi zaidi ya kushupaa.
 
Great news! Big up Court of Appeal Tz for such a beautiful ruling!

Investors should always observe and abide to the laws of the country.
 
Muda wa kufukua makaburi umefika.
 
Rate ya ukuaji wa huu uzi ni comment mbili hadi tatu kwa mwaka (SORY NDOGO SANA)..watu wamekimbiliz kwenye nyuzi za migegedo na misambwanda..
 
It is a good news, in my opinion it is time for TRA collect all the due tax that was not paid.
Also, this should not end with one company there is a need for extensive review on our tax collection system as well as to avoid these loopholes of tax evasion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…