MAKALI ONE
Member
- Aug 29, 2019
- 12
- 10
Usiangalie rudi tena usome.Hawa ni matapeli, madini hayahitaji kuwa na watu wa mikopo, hao credit officers wa kaz gani?watu wa marketing wa kazi gani?watu wa customer service wa kazi gani?mabeberu wakija kuchimba wanajua wapi yalipo masoko yao.
Tangazo lao lina mapungufu mengi sana.
Hawa ni matapeli, Kindly be informed
so start up business zote capital ziko sawa...usifananishe individual na kampuni...kwanza we wakutapeli nini? kwani ni mtoto huna ufahamu. apply utulie...mnapenda kuwa wajuajiIla all in all, watakuwa ni matapeli tu hawa... we ushaona wapi start up company inayoanza operation ina ajiri watu 64 kwa mkupuo?
Kuna jamaa kaniambia alituma CV baadae akapigiwa simu kutoka Kenya kuwa atoe hela.Nani ametapeliwa hapa? Hakuna
Nani ameombwa hela hapa? Hakuna
Wamesema wao ni wale Barrick wa madini? Hapana
Ukituma CV tu hela yako mfukoni inapungua? Hapana.
Wabongo bana......[emoji51]
Alipigiwa simu na hao Barrick au? Na aliambiwa atoe hela ya nini? Mwambie akupe maelezo vizuri ili kama ni hawa hawa basi watu wajue. Tangazo limetoka juzi tu na hata deadline bado, huyo mtu amepigiwa simu lini?Kuna jamaa kaniambia alituma CV baadae akapigiwa simu kutoka Kenya kuwa atoe hela.