Mihemko mingi mnoo na kutaka misifa isiyo stahili kabisa yaani mmmhh.. Weupe hatu waweze hata Kidogo... Ni kwenda nao sawa tuu sio kujifanya wewe una akili kubwa kulikoni walio kufundisha kazi au walio kutangulia... Wee una mletea jeuli mtu ambae ana chapisha pesa zako. Ina chekesha sana.....kuwa chini tu malizana nao kiugwana ila sio kwa Mihemko kutaka kuibuka as hero....kulikoni walio mtagulia sio sawa kabisa yaani...hakuna mtu anae furahia kwa taifa lake kuhujumiwa hata Kidogo.. Atumie busara.. You can't never make it alone ktk hii Dunia.. No way