mwambadog
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,736
- 1,446
Msitupe maneno makali hivi angalau kama hamuwezi lipa upfront basi kwa installment, tulikuwa na imani tukiwatingisha mtateteleka na kutuwezesha maana hari mbaya sana kwa sasa.
hii mnatutengenezea pressure kwa kweli, tuna watoto jamani
source Press Release Item
watz jamonii tuachane na makosa ya ma ccm tuwaombe hawa jamaa(tuliosema wezi) waoneshe huruma.
hizo $300 tungejengea reli na kulipia bomba dia yetu.
mungu tujalie nguvu tuwashinde hawa kama tulivyo mshinda IDD AMINI
hii mnatutengenezea pressure kwa kweli, tuna watoto jamani
source Press Release Item
watz jamonii tuachane na makosa ya ma ccm tuwaombe hawa jamaa(tuliosema wezi) waoneshe huruma.
hizo $300 tungejengea reli na kulipia bomba dia yetu.
mungu tujalie nguvu tuwashinde hawa kama tulivyo mshinda IDD AMINI