Barter trade still practice in Africa

Barter trade still practice in Africa

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,183
Reaction score
1,322
Serikali ya Angola imepokea shehena ya ngombe kutoka serikali ya Chad. Angola inaidai Chad kiasi cha USD 82 milioni. Katika makubaliano yao Chad inatakiwa ipeleke Angola ng'ombe 75,000 katika kipindi cha miaka 10. Ng'ombe hao wanatarajiwa kupelekwa sehemu ambazo zimeadhiriwa na ukame nchini Angola
 
Serikali ya Angola imepokea shehena ya ngombe kutoka serikali ya Chad. Angola inaidai Chad kiasi cha USD 82 milioni. Katika makubaliano yao Chad inatakiwa ipeleke Angola ng'ombe 75,000 katika kipindi cha miaka 10. Ng'ombe hao wanatarajiwa kupelekwa sehemu ambazo zimeadhiriwa na ukame nchini Angola
Yeah lets do it in African way

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wazo zuri...tatizo ni kupeleka ng' ombe kwenye maeneo ya ukame. Angola watapata hasara.
 
Back
Top Bottom