Barter trade: URANIUM KWA VYANDARUA

Barter trade: URANIUM KWA VYANDARUA

Mzalendo Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
735
Reaction score
191
Ndugu zangu kuna kijana wa BONGO FLEVA ameimba wimbo wake wa KIMAPINDUZI sana. Moja ya msitari wke unasungumzia Marekani kubadirisha na Tanzania YANDARUA KWA URANIUM. Bahati nzuri wimbo huu hata jana ulipigwa 88.5 hivyo ulikuja wakati Muafaka.

Ni muendelezo uleule wa kutumia ""
 
Ndugu zangu kuna kijana wa BONGO FLEVA ameimba wimbo wake wa KIMAPINDUZI sana. Moja ya msitari wke unasungumzia Marekani kubadirisha na Tanzania YANDARUA KWA URANIUM. Bahati nzuri wimbo huu hata jana ulipigwa 88.5 hivyo ulikuja wakati Muafaka.

Ni muendelezo uleule wa kutumia ""

propaganda hizo na chuki binafsi
 
Ndugu zangu kuna kijana wa BONGO FLEVA ameimba wimbo wake wa KIMAPINDUZI sana. Moja ya msitari wke unasungumzia Marekani kubadirisha na Tanzania YANDARUA KWA URANIUM. Bahati nzuri wimbo huu hata jana ulipigwa 88.5 hivyo ulikuja wakati Muafaka.

Ni muendelezo uleule wa kutumia ""

Mbona uranium Tz inachimbwa na warusi! Wewe na huyo mwanamuziki wako mbona mnajifedhehesha kwa kutochunguza mnachokisema/kuandika? Fikiria umati unaopotoshwa na mwanamuziki na mtu kama wewe! Kazi tunayo JF.
 
Back
Top Bottom