Barua fupi kwa sultan Jamshid

Barua fupi kwa sultan Jamshid

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Audhubillah min al shaitan nirajeem mkoloni na muuza watumwa Jamshid bin Abdulla.

Nimesikia tetesi kuwa kuna watu wasioitakia mema nchi yetu wamekuruhusu urudi Zenj.

Je unakuja kufanya nini? Huoni kuwa huku ni kututia vidole machoni?

Umesahau kuwa tunajua uliuza mababu zetu utumwani mbali na kunyakua ardhi na mali zetu?

Je ungekuwa mswahili aliyefanya uliyofanya kwa waarabu wenzako, angeruhusiwa kurudi?

Na kama angeruhusiwa, mnyongaji angemfanya nini?

Je una mpango wa kukanya bara?

Je utaenda kuweka shada la maua kwenye kaburi la mzee Karume?

Je utwakenda Butiama kuweka shada la maua kwenye kaburi la nguli Nyerere?

Je umetumia mbinu au ushawishi gani kujiamini na kutaka kurejea kutonesha madonda?

Nashauri kama utarudi, basi washauri hao waliokurejesha wailipe familia ya fieldmarshal John Gideon Okello fidia.

Sikukaribishi Tanzania iwe visiwani au bara.

Je maisha yemekupiga huko Uigerezani?

Je unajua kuwa huu unaweza kuwa mtego wa kukutia adabu kwa vile uliowafanyia dhulma, ubaya, ubaguzi, unyama na uhayawani wanakumbuka kila kitu au unadhani wamesahau?

MWISHO
Nakushauri usirudi Zenj, kwani huna cha mno cha kuifanyia.
Waktabahu
 
Huyu ndiye sultan huyu Samia anakumbishia machungu wajomba zake walivyowafanya waafrika.
 

Attachments

  • IMG-20241228-WA0010.jpg
    IMG-20241228-WA0010.jpg
    10.6 KB · Views: 4
Audhubillah min al shaitan nirajeem mkoloni na muuza watumwa Jamshid bin Abdulla.

Nimesikia tetesi kuwa kuna watu wasioitakia mema nchi yetu wamekuruhusu urudi Zenj.

Je unakuja kufanya nini? Huoni kuwa huku ni kututia vidole machoni?

Umesahau kuwa tunajua uliuza mababu zetu utumwani mbali na kunyakua ardhi na mali zetu?

Je ungekuwa mswahili aliyefanya uliyofanya kwa waarabu wenzako, angeruhusiwa kurudi?

Na kama angeruhusiwa, mnyongaji angemfanya nini?

Je una mpango wa kukanya bara?

Je utaenda kuweka shada la maua kwenye kaburi la mzee Karume?

Je utwakenda Butiama kuweka shada la maua kwenye kaburi la nguli Nyerere?

Je umetumia mbinu au ushawishi gani kujiamini na kutaka kurejea kutonesha madonda?

Nashauri kama utarudi, basi washauri hao waliokurejesha wailipe familia ya fieldmarshal John Gideon Okello fidia.

Sikukaribishi Tanzania iwe visiwani au bara.

Je maisha yemekupiga huko Uigerezani?

Je unajua kuwa huu unaweza kuwa mtego wa kukutia adabu kwa vile uliowafanyia dhulma, ubaya, ubaguzi, unyama na uhayawani wanakumbuka kila kitu au unadhani wamesahau?

MWISHO
Nakushauri usirudi Zenj, kwani huna cha mno cha kuifanyia.
Waktabahu
Mbona wajerumani walioa mababu zetu wamerudi,.? Au ndio mavi ya mzungu hayanuki?
 
Hawa waarabu wanakuja fanya nini?! Hii ni dharau.. kwa wazee weru waliowauza kama watumwa.
 
Wewe mtwana mbona umetoka tanganyika umekuja Zanzibar hakukuzuia mtu?
 
Wewe mtwana mbona umetoka tanganyika umekuja Zanzibar hakukuzuia mtu?
Nakushauri uache hizo. Kama Bara wataamua kuwatimua mamluki wa kizanzibar, visiwa vyenu vitajaa hadi muanze kulana kama wadudu. Tunaweza kuanza na dada yenu mrembua macho aliyeko kukuu halafu, kama alivyowahi kushauri marehemu Mtikilla, tunawafanyia kitu mbaya walowezi wakubwa msio na shukrani wala kumbukumbu. Si muende huko kwa mabwana zenu arabuni muone watakavyowageuza.
 
Ushindwe na uregee shaitwaaan qabir. Mtumwa ni mtumwa milele.
Wakati Afrika ilipoingizwa zaidi katika biashara ya kimaifa ya watumwa, mifumo hiyo ya utumwa wa kimapokeo ilianza kupeleka wafúngwa pia kwa masoko ya watumwa nje ya Afrika [1]. Biashara hiyo ya kimataifa ilitokea katika biashara ya watumwa kuvukia Sahara, biashara ya watumwa katika Bahari Hindi, na biashara ya watumwa ya Atlantiki (ambayo ilianza karne ya 16).


Zanzibar inaonekana ilikuwa ni njia tu kama hizo njia nyengine zilizotumika kupitiza watumwa. Sultan Jamshed alikuwa chini ya utawala wa uingereza sasa Sultan alikuwa na power gani mbele ya mtawala wake wa uingereza?.
 
Soma historia mwanangu. Huyo sultan wako ndiye aliwaita waingereza kuja kumlinda ili asipinduliwe ima na wale aliokuwa akiwatumikisha au kule alikotoka baada ya kukataa kuwa chini ya Oman
 
Ungesalimia kwa dini yako unge pungukiwa na nini🤣🤣
Hiyo ndiyo dini yangu mwanangu. Si mnasema kila mtu anazaliwa muislam? Je unajua maana ya hayo maneno ambayo siyo salamu bali laana?
 
Hiyo ndiyo dini yangu mwanangu. Si mnasema kila mtu anazaliwa muislam? Je unajua maana ya hayo maneno ambayo siyo salamu bali laana?
Mkuu jifunze kuheshimu dini za wenzio hata kama unaona yako inakupendeza basi heshimu tu hata kama haikupendezi.

Mfano wewe mweusi ukikutana na mweupe mbaguzi na kukutemea mate kisa ngozi yako unahisi kafanya sawa?.
 
Audhubillah min al shaitan nirajeem mkoloni na muuza watumwa Jamshid bin Abdulla.

Nimesikia tetesi kuwa kuna watu wasioitakia mema nchi yetu wamekuruhusu urudi Zenj.

Je unakuja kufanya nini? Huoni kuwa huku ni kututia vidole machoni?

Umesahau kuwa tunajua uliuza mababu zetu utumwani mbali na kunyakua ardhi na mali zetu?

Je ungekuwa mswahili aliyefanya uliyofanya kwa waarabu wenzako, angeruhusiwa kurudi?

Na kama angeruhusiwa, mnyongaji angemfanya nini?

Je una mpango wa kukanya bara?

Je utaenda kuweka shada la maua kwenye kaburi la mzee Karume?

Je utwakenda Butiama kuweka shada la maua kwenye kaburi la nguli Nyerere?

Je umetumia mbinu au ushawishi gani kujiamini na kutaka kurejea kutonesha madonda?

Nashauri kama utarudi, basi washauri hao waliokurejesha wailipe familia ya fieldmarshal John Gideon Okello fidia.

Sikukaribishi Tanzania iwe visiwani au bara.

Je maisha yemekupiga huko Uigerezani?

Je unajua kuwa huu unaweza kuwa mtego wa kukutia adabu kwa vile uliowafanyia dhulma, ubaya, ubaguzi, unyama na uhayawani wanakumbuka kila kitu au unadhani wamesahau?

MWISHO
Nakushauri usirudi Zenj, kwani huna cha mno cha kuifanyia.
Waktabahu
Acha aje aridhie na aiombee Dua Zenj irudi katika hadhi na maendeleo yake kama ilivyokua katika utawala wake.
Zanzibar ilikua nchi pekee ya Afrika iliokua na vyama vingi vya siasa, baada ya mapinduzi uhuru wa kisiasa ukakoma,
Zanzibar ilikua mbali katika huduma za jamii, afya , elimu. Vyakula vilikua vimejaa, mkulima alikua na haki kamili ya shamba na mazao yake.

Kuhusu utumwa muulize shujaa wetu Mirambo alivyo kua anawakamata watu kuwauza na wengine analangua na kuwasafirisha. Yeye na watemi wengine walikua ni wauzaji na wasafirishaji wa jumla wa watumwa. Hakuna mwarabu alie ingia kijijini kukamata mtumwa hata mmoja. Waafrika ndio waliuza waafrika wenzao.

Mzee Jamshid karibu nyumbani, tusaidie kuleta wawekezaji kutoka Arabuni.
 
Waarabu koko wa Zanzibar wanapenda kutukuza sana waarabu halisi, huyo mzee hadhi yake ya usultani ilishagaisha. Sasa hivi ni raia wa kawaida tu tena gaidi aliyekimbilia uingereza kuomba hifadhi baada ya kuwafanyia ukatili wa utumwa wazee wetu. Sio sultan huyo acheni kumpa sifa za kijinga ni gaidi anayepaswa kuwajibishwa akikanyaga ardhi ya Tanzania.
 
Watu weusi tuna kiherehere sana asee. Huyu Jamshid hata huko Oman kwao hawakumruhusu kuishi huko baada ya kukimbia Zanzibar ikabidi akimbilie Uingereza, wamekuja kumruhusu kurudi nyumbani kwao Oman miaka zaidi ya 50 baadae (2020).

Sasa mtu ambae familia yake ya kisultani ya Oman haikumtaka nyumbani nyie majitu meusi mlioteswa kuuzwa na kuuwawa nae saizi mnataka kumkaribisha aje kufanya nini? Labda mseme unamtega akija mummalize.

Ila Miafrika ndio mlivyo.
 
Back
Top Bottom