Barua fupi ya wazi kwa Diamond Platinum

Barua fupi ya wazi kwa Diamond Platinum

Mimi nina maswali mawili
1.Hii barua mbona fupi sana hlf haina address ya mwandishi?
2.Ulifanikiwa kupiga bao mbili na zaidi?
 
Yule mzee ni muislam lakini hajitambui, mwambie avue chain amuelekee Allah. Hao watoto ni zawad tu yeye kama alifanya wajibu wake au hakufanya hukumu amuachie Mwenyez Mungu. Kwanza anaonekana bado anajiweza anatakiwa asiwe analalamika kabisa kuhusu watoto manake haiwezi kumsaidia chochote.
 
Diamond Platinum mm ni mtanzania mwenzio tuu ila sifuatilii sana mamiziki ila natoa ushauri kuwa Msaidie Baba yako mzazi ingali yupo hai.
Asante.
Nakushauri.....
Ni wajibu wa mzazi kumlea na kumtunza mwanae but si wajibu wa mtoto kumtunza mzazi!Tatizo huyu mzee nae anaonekana ni msela mno tangu enzi hizoooo till now.Kujibizana na wanae through social media ndo kosa kubwa analofanya.Nimemcheki jana kupitia kipindi cha Shilawadu,nae kuna kitu anakosea sana km mzazi though watoto wake nao it seems wanamdharau baba yao.Nadhani historia ya namna alivyoishi na wanae ndo inamuhukumu kwa sasa.
 
Ni wajibu wa mzazi kumlea na kumtunza mwanae but si wajibu wa mtoto kumtunza mzazi!Tatizo huyu mzee nae anaonekana ni msela mno tangu enzi hizoooo till now.Kujibizana na wanae through social media ndo kosa kubwa analofanya.Nimemcheki jana kupitia kipindi cha Shilawadu,nae kuna kitu anakosea sana km mzazi though watoto wake nao it seems wanamdharau baba yao.Nadhani historia ya namna alivyoishi na wanae ndo inamuhukumu kwa sasa.
Yule mzee jana alikula cha Arusha, kama ulimtizama kwa makini
 
Apambane a hali yake Kwani anavuna alichokipanda, labda Mungu aingilie kati, funzo kwenu Wanaume
 
Kama Baba yake Diamond asingepiga bao kwa mama yake Dai means Diamond asingezaliwa.

Kama baba yake Diamond angechomoa dushe amwage nje Daimond asingezaliwa.

Kama Baba yake Daimond angemlazmisha Mkewe/mchepuko wake uchoropoe mimba Dai asingezaliwa.

Baba ni baba , Daimond usije siku ya msiba wa baba yako unatuvalia ma t-shirt , sjui magari ya kubeba jeneza , kama humsaidii sasa usimsaidie tena
 
Hata kama alitelekezwa Ila hastaili kumwacha baba yake anateseka anaumwa miguu anahitaji japo m5 akatibiwe India lakini Diamond hana time anaona bora amkatie ticket mama yake na Kiserengeti boy chake wakale bata south ,sasa hiyo akili matope ? Diamond ni zero brain kabisa
 
Yule mzee jana alikula cha Arusha, kama ulimtizama kwa makini
Mkuu kama ulikuwepo hadi niliulizwa na MTU nilyekuwa nachek naye kwamba huyo ajalewa kwel? Lakin kikubwa baba ni baba subili uone dunia itakavowafunza wamejisahau na pesa zao
 
Diamond Platinum mm ni mtanzania mwenzio tuu ila sifuatilii sana mamiziki ila natoa ushauri kuwa Msaidie Baba yako mzazi ingali yupo hai.
Asante.
Nakushauri.....
Gud point afanye ivyo siku zote mtoto uwezu kuingilia ugomvi wa wazazi wako na kuhukumu moja kwa moja kwa mtoto yeyote mwenye busara sizani kama ni sahihi kulipa kisasi kwa mzazi wako hata kama alikosea
 
Ni wajibu wa mzazi kumlea na kumtunza mwanae but si wajibu wa mtoto kumtunza mzazi!Tatizo huyu mzee nae anaonekana ni msela mno tangu enzi hizoooo till now.Kujibizana na wanae through social media ndo kosa kubwa analofanya.Nimemcheki jana kupitia kipindi cha Shilawadu,nae kuna kitu anakosea sana km mzazi though watoto wake nao it seems wanamdharau baba yao.Nadhani historia ya namna alivyoishi na wanae ndo inamuhukumu kwa sasa.

umepotea sana wajibu wa mzazi kumlea na kumtunza mwanae pia wajibu wa mwanae kumtunza mzazi wake hiyo ni lazima sio ombi mwana kumtunza mzazi dini yetu imeamrisha hivyo dini ya kiislam
 
Back
Top Bottom