Daniel kulwa Nyawayi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 277
- 187
Kwani Diamond tu ndo wa kwanza kuachwa na baba yake au wewe katika jamii unayoishi ujawahi shuhudia vitu vya aina hii lakini kama mtoto unaejitambua na unabusara uwezi revenge kwa mzazi wako hata siku moja atalipwa huko kwa uchafu wake aliotenda.Inaelekea wewe unajua hii story vizuri kuliko Diamond .