Gud point afanye ivyo siku zote mtoto uwezu kuingilia ugomvi wa wazazi wako na kuhukumu moja kwa moja kwa mtoto yeyote mwenye busara sizani kama ni sahihi kulipa kisasi kwa mzazi wako hata kama alikosea
Hamisa kamfikisha mahakamani ili amtunze mwanae yy halioni hilo.alipo mterekeza uliwahi kumshauli babaake aka msaidiye nasibu na mamaake ?? bullshit fuatilia yako wew familia ile aikuhusu ...
Hiyo familiya inaongoza na mama. Wote akili zao zinafanana. Hebu angalia walichomfanyia zari
Tumetengana na wanaume ila watoto tunawakumbusha kumjulia baba yao hali.
Diamond atalaaniwa hadi kizazi chake cha nne
nyuma ya pazia kuna mambo mengi sana .kina mama huwa wana dominant watoto kwa kuwalisha maneno makali sana kuhusu baba za watoto......yawezekana ugomvi wa baba na mama ilikuwa mapenzi yao tu, ya kunyimana papuchi au kusalitiana so mwisho wa siku baba anaonekana kuto wajali watoto wake.......binafsi siwezi lishwa maneno yoyote na mama yangu mie nitafanya kwa mama kwa nafasi yangu na kwa baba kwa nafasi yanguSure. Ila madingi nao waache kutelekeza watoto
Asee yule Mzee nae zero..ila hata kama yupo vile nivizuri wamsitiri.Ni wajibu wa mzazi kumlea na kumtunza mwanae but si wajibu wa mtoto kumtunza mzazi!Tatizo huyu mzee nae anaonekana ni msela mno tangu enzi hizoooo till now.Kujibizana na wanae through social media ndo kosa kubwa analofanya.Nimemcheki jana kupitia kipindi cha Shilawadu,nae kuna kitu anakosea sana km mzazi though watoto wake nao it seems wanamdharau baba yao.Nadhani historia ya namna alivyoishi na wanae ndo inamuhukumu kwa sasa.
Aloooo. .yule binti balaa.Queen Darleen ana lugha chafu sana,mtoto wa kike hautakiwi kuwa na lugha za matusi.
Mlipaji na anaetoa hukumu ni Mungu pekee na si mwanadam.Sio kuingilia ugomvi man, sema kama Sijawahi kukuona kipindi nahitaji father figure, usinitafute leo kuniletea matatizo yako. Rafiki yangu mmoja, yeye alikuwa abandoned na wazazi wote wawili, akalelewa na watu tofauti wakati baba na mama yake wanakula ujana. Sasa hivi kaitoa imekuwa tabu na usumbufu kila siku.
Mlipaji na anaetoa hukumu ni Mungu pekee na si mwanadam.
Mtu kumkimbia mtu kunakua na sababu na evrything happened by reason,mama anaweza akakimbiwa kumbe yy ndo mkosaji ukikua anampaka baba yako matope sio wote wanaokimbia watoto eti wamekimbia majukumuMan, msikimbie majukumu ya kulea watoto wenu baadae mlete story za Mungu.
Mtu kumkimbia mtu kunakua na sababu na evrything happened by reason,mama anaweza akakimbiwa kumbe yy ndo mkosaji ukikua anampaka baba yako matope sio wote wanaokimbia watoto eti wamekimbia majukumu
Diamond Platinum mm ni mtanzania mwenzio tuu ila sifuatilii sana mamiziki ila natoa ushauri kuwa Msaidie Baba yako mzazi ingali yupo hai.
Asante.
Nakushauri.....