Barua fupi ya wazi kwa Diamond Platinum

Inaelekea wewe unajua hii story vizuri kuliko Diamond .
Kwani Diamond tu ndo wa kwanza kuachwa na baba yake au wewe katika jamii unayoishi ujawahi shuhudia vitu vya aina hii lakini kama mtoto unaejitambua na unabusara uwezi revenge kwa mzazi wako hata siku moja atalipwa huko kwa uchafu wake aliotenda.
 
Mbona mnamuingilia diamond mambo yake binafsi? Hamjui chanzo cha yeye kutopatana na baba yake, hamuwezi kulazimisha, haipo hivyo. Mwacheni tu ipo siku atapatana na baba yake bila kelele zenu.

ushauri tu sio kwamba analazimishwa... hila ni fundisho kwa wengine pia.
 
ushauri tu sio kwamba analazimishwa... hila ni fundisho kwa wengine pia.
Litakuwa fundisho kivipi mkuu? Huku mtaani watu hawapatani na baba zao na wengine hata mama zao, na huwa kuna sababu haitokei tu mtu akaamua. Why mumpe presha diamond? Haya mambo si ya kulazimisha.
Na inaonekana huyo baba yake naye ni problem ndio maana diamond bado hamkubali. Mzazi akikosea anatakiwa arekebishe na aombe msamaha, na sio kumtumia mtoto ambae sasa ni maarufu ili tumuonee huruma.
.
.
Fundisho ni kwamba, wazazi tuache kuwakwaza kwa makusudi wenza wetu na watoto wetu. Madhara yake ndio hayo huyo baba anayapata sasa hivi, lazima alikosea sehemu.
 
Yule mzee jana alikula cha Arusha, kama ulimtizama kwa makini
hahaaaa yule Mzee hataki kupitwa na fikira za ujana ..lakini sio yey tu ule ukoo wote ndio ulivyo kama vile watu wa uwanja wa fisi
 
asante ..huwa nawaambia vijana wengi hiki ulichokisema lakini hawataki wanabisha hatari ..jaami zetu za kiafrica huwa zinaona mtoto nikama rasilimali ..mzazi anazaa akitaka yule aliyemzaa aje kumtunza uzeeni mbaya zaidi huyo wanayetegemea aje kuwatunza wanashindwa kumpatia mazingira bora ambayo yatamuandaa ktk kuweza kuzimudu chnga moto
 
Kwani Diamond tu ndo wa kwanza kuachwa na baba yake au wewe katika jamii unayoishi ujawahi shuhudia vitu vya aina hii lakini kama mtoto unaejitambua na unabusara uwezi revenge kwa mzazi wako hata siku moja atalipwa huko kwa uchafu wake aliotenda.


Mkuu, kila mtu na maisha yake, naona una hasira kuliko babaake Diamond mwenyewe.
 
Diamond Platinum mm ni mtanzania mwenzio tuu ila sifuatilii sana mamiziki ila natoa ushauri kuwa Msaidie Baba yako mzazi ingali yupo hai.
Asante.
Nakushauri.....

stupid, kama yeye alimtupa??

unajua mateso ya watoto bila baba?
 
Si angezaliwa na baba mwingine?
 
Hiyo familiya inaongoza na mama. Wote akili zao zinafanana. Hebu angalia walichomfanyia zari

Tumetengana na wanaume ila watoto tunawakumbusha kumjulia baba yao hali.

Diamond atalaaniwa hadi kizazi chake cha nne
Jiangalie sana na hicho kitengo cha ugawaji laana maana usije ukalaaniwa wewe.Nina uhakika unavijua vitu vichache saaana kuhusu hii familia.
 
Kwani Diamond tu ndo wa kwanza kuachwa na baba yake au wewe katika jamii unayoishi ujawahi shuhudia vitu vya aina hii lakini kama mtoto unaejitambua na unabusara uwezi revenge kwa mzazi wako hata siku moja atalipwa huko kwa uchafu wake aliotenda.
Una uhakika kuwa huyo ndie babake?
 
Ujinga ni kutaka kila mtu afanye kama unavyofikiri, hizi tofauti ndo zinafanya maisha yawe hivi.
Mwache diamond afanye anavyojisikia kwa sababu hujui maisha awali yalikuwaje kama mahusiano yalikuwa mabovu basi chuki au hasira inakuwemo kwa mtoto hata akiwa mkubwa.
Upendo wa mtoto kwa wazazi upo tied na malezi mazur na matendo ya upendo ya mzazi kwa mtoto.
Sio eti ukishazaa basi unaacha hapo , unasubir aje kukusaidia akiwa mkubwa,
Kuwa maskini hakukufanyi wew ushindwe kulea mwanao.
 
Kuna boss flani alikua anaandika vimemo kama wewe viree[emoji115]
 
Anapambana na moyo wake kwani kesha bwagwa huko Uganda (wa Tanzania tumeshinda vita kwa mara ya pili zidi ya uganda)arudi tuu nyumban inatosha sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…