Barua: Kumbe watumishi wanalazimishwa kuhudhuria mikutano ya kampeni za CCM na wanachukuliwa majina. Hivi mnawapa nauli?

Bila kulazimisha watu ccm mikutano yao imedoda kama uji wa juzi.
 
Muoga na mnafiki kamwe hawezi kuwa huru
 
Ufalla sana,,, watumishi wamekuwa wakinyanyasika sana awamu hii
 
Wameshikiwa mapanga?
 
Daftari za Mahudhurio litakuwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Tumeipenda Wenyewe!!
Wala Hatukuandikiwa Barua Wacha Ituue
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„
 
Halafu huyo mkurugenzi atende haki kumtangaxa mpinzani akishinda kwenye jimbo lake
 
Sijui kama huu sio utumiaji mbaya wa madaraka. Mh. Majaliwa ni waziri mkuu (nafasi ya kiserikali) na hana uongozi katika CCM (kama mwenyekiti msaidizi, katibu, mwenezi nk).

Kutumia rasilimali za taifa kufanya kampeni za chama si jambo sahihi. Mkurugenzi ambaye ni msimamizi wa uchaguzi ndiye anayetekeleza takwa la chama cha siasa, huku akitarajiwa kuwa na usawa kwa wagombea wengine. Lakini kwa kuwa wengi hatuwazi nje ya box la siasa, hatuwezi kuona hili!!

Points nzuri kabisa za kufungulia shitaka baada ya uchaguzi!!
 
Siamini kama hii barua imeandikwa na mamlaka husika, naziomna mamlaka kuwa na utaratibu wa Kupitia mitandao na kukanusha habari ambazo si za kweli
 
G Sam watumishi wa serikali wamepewa onyo wasionekane kwenye mikutano ya Tundu Lissu.
 
Hii Sasa ndio maana halisi ya propaganda. Ila kitu Cha muhimu Cha kujiuliza need je?

Hii barua haina authentification yeyote kwamba inatoka serikalini, kwakua anyone could print it.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…