Barua kutoka kwa mume wa Florah Mbasha kwenda kwa mchungaji Gwajima

Naweka nafasi nitakuja baadae..................................................!
Nimepata point ya kwanza
===>Haya makanisa haya yenye wachungaji wa darasa la tatu yana kazi kweli,mwenye CV ya Guajaroor atuwekee hapa tuanze kazi.
 

mwanamke ana bebea mimba miezi tisa, anazaa anaweka mtoto kwenye rambo anatupa road/or choo cha shimo? bado huamini tu si wakuchezea?
 
eish!,hii barua si tayari ilishaletwa hapa na The bold via uzi mwingine?.mbasha na "masnura" yako, acha kujaza server ya jf kwa vitu ambavyo ulishavileta na wadau wakachangia.
 
Last edited by a moderator:
Palipo na ukweli uwongo hujitenga
 
Kweli Emanuel Mbasha umekwisha kabisa kabisa. Unadhani kuanika nguo zako za ndani kwenye kioo cha dala dala ndio zitakauka upesi? Huo sio msaada bali wajiletea aibu juu ya kichwa chako mwenyewe. Yupo muimbaji mmoja wa Bongo fleva aliimba akasema "Kuchapiwa ni siri ya ndani" weye sio wa kwanza kunyang'anywa mke.
Malalamiko yako kuwa ukifungwa watoto watapata taabu hayo ni mawazo finyu saana. Kulalamika kwako kuwa Flora kaupata utajiri wa haraka nayo yaonesha ulivyoshindwa kumtunza wenzako wakaonesha kuwa hukumstahili. Ulikuwa unamvua nguo bureee ati ni mali yako, wenzako wakamfungua macho kuwa anastahili kutuzwa, kila siku anapewa mamilioni. Weye unapoenda kuchunguza ati zimetoka wapi, nani kazideposit ni ili iweje?
Emanuel, usipojiangalia, siku si nyingi utaokota makopo. Wadhani unapambana na Gwajima kumbe wajitia wendawazimu mwenyewe.
Ushauri wangu; Mwachie Mungu yule uliyesema alikuokoa. Yeye ndiye atakupa uwezo wa kumsahau Flora na maisha yataenda mbele tuu. Si lazima ule jasho la mkeo. Jitafutie taratibu, utapata tu kwani rizki hugawa na Mungu si Gwajima wala Flora.
Huoni ajabu, wote wawili wamekudharau wala hakuna anaye bishana na weye humu JF?? Pole Bro. Angalia mbele, mlilie huyo shem, akuhurumie tuuu usiende Segerea. Ninavyomfaham yule ni mama huruma tu ukimtumia ujumbe mzuri, atakusamehe na kesi itafutwa.
Kama miye ni weye, huo ukoo ningeusahau kabisa mpaka hata mkoa wao nisingelifika huko tena. Kwa heri acha kulalama humu JF unajiaibisha sana. Yaonesha bila Flora hata ch.oo huendi
 
Tuliona Hii barua Jana; hata hivyo pamoja na maneno makali ya hisia bwana mbasha umeshindwa kuthibitisha kama mke wako anatembea Na Mchungaji mbali ya kuishia kwenye hisia.

Mfano; mkeo kurudi hotelini kwake Na taxi usiku Wa manane si uthibitisho Wa kuchukuliwa Na Mchungaji.

Na tunavyojua huko Morogoro walikuwepo wachungaji wengi Na hata mke Wa Mchungaji alikuwepo Na akilala chumba kimoja Na muwewe.
 
Huyu Mbasha anachachawa nini kwenye media kila siku?Ajibu hoja za kubaka,tunataka tusikie akijenga hoja za kuonyesha na kutuaminisha kuwa hajabaka,ye kila siku Gwajima!Gwajima!Anajidhalilisha tu sio sifa mtoto wa kiume kulalamikalalamika kuchapiwa mkeo unajidharaulisha chukua sheria kiunoni na wewe tafuta pesa usichapiwe,Huyo Flora ana uzuri gani mpaka wewe ufungwe kwa ajili yake does it make sense kweli?Acha kumtumia Gwajima kuonyesha watu unaonewa wenzako wamepeleka ushahidi polisi wewe tueleze kivipi hukubaka hao watoto bali unasingiziwa.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 

cc Ema Mbasha c/o the Bold! Aibu yako!
 

A great mind! Be blessed!
 
Kuna watu wana vichwa vya kufugia nywele tu
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
 
Naogopa sana ulokole. Bado sijajua kwenye mkutano wa CCM Dodoma kama Flora alitoka bila........
Hapo si ulokole ni tabia ya mtu . Pia ikumbukwe sana taarifa za mwanamke kwa wasomaji wa biblia, matukio mengi ya kuhatarisha amani yamesababishwa na mwanamke na mwanamke huyo huyo akaleta ukombozi. Na Mungu akaendelea kuwasihi wanaume wawapende wake zao lkn mwanamke aliambiwa amtii mume wake kwa sbb gani tafakari msomaji. Pia Mungu alisema kaeni kwa akili sana na hao wake zenu , sbb gani amesema hivyo jibu unalo. Bob Marley aliimba wimbo wa No woman no cry. Ukisikiliza ujumbe utapata picha ukiunganisha utamuelewa mwanamke kiumbe gani. Lkn watu wasisingizie ulokole .
 

Wewe ni Flora au ndugu wa upande wa akina Flora
 
Walokole wengi ni wanafiki na waizi wakubwa wanatumia ulokole kama mwamvuli na wanakera sana ukiwaoba wenyewe wakinena utasema roho mtakatifu amewashukia kumbe ni fiksi tu wamekremisha maneno ooo shabarabara Katika Katika shantakakuntakintr kintoshabalalata labaaskrimu za azamtamu.... Wiziii mtupppuu
 
BONGOLALA vitu serious kama hivi vinahitaji strong verifications.
Kama hautajali utuambie imepatikana wapi?
Halafu kuna mtu ana contact ya Emma? FB au email or whatever?
Nina neno nae!
 
Last edited by a moderator:
We nawe!
Hakuna mlokole mwizi, ila kuna wezi wanajifanya walokole.
 

duh! Hii kali mazee, lkn endelea kutiririka mzeiya tumechuka na hawa wachungaji feki kumbe mafisi
.....gwajima ashindwe na alegee katika jina la yesuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…