Barua kutoka kwa mume wa Florah Mbasha kwenda kwa mchungaji Gwajima

Barua kutoka kwa mume wa Florah Mbasha kwenda kwa mchungaji Gwajima

kama ndiyo mimi mbasha tungegawana majengo ya serikali kiroho saf
 
Hii Issue imefNana na ile ya kwenye bibilia ya yule mfalme aliyetaka kupora mke wa askari wake. Akampeleka yule askari front line ya vita ili afe yeye abaki na mke wa askari/mjane kisa tamaa za wake za watu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii Issue imefNana na ile ya kwenye bibilia ya yule mfalme aliyetaka kupora mke wa askari wake. Akampeleka yule askari front line ya vita ili afe yeye abaki na mke wa askari/mjane kisa tamaa za wake za watu


Sent from my iPhone using JamiiForums
mwanaume mwenye akili hawezi kufanya hivyo hapa napata picha kuwa mbasha anataka aonewe huruma baba una kesi ya kubaka maliza hiyo kesi hayo unayoyamwaga ni matatizo ya ndoa utamalizana na mwanandoa mwenzio,kingine mbona unaonekana umedharauliwa mm sijaona flora analalamika namna hiyo yupo kimya hapa nazidi kumpenda maana ana busara
 
flora nakuona una busara sana kukaa kwako kimya ni hekima sana acha zoba lao liendelee kutapatapa,wewe mbasha unakesi ya kubaka,maliza kesi ya kubaka kwanza hayo unayoyaeleza ni matatizo ya ndoa kweli akili huna,hata za kufikiri huna vyombo vya habar havitakusaidia chochote,gwajima na flora wanaongozwa na hekima na ndo maana wapo kimya ,nilikuwa nakuheshim ss heshima yangu imeshuka sana,MWANAUME MWENYE AKILI HANA UPUUZI HUO,utaongea san kwa mtazamo huo ndoa imekushinda sizan kama kunaupendo tena hapo looooo mwanaume ww sijui kabila gani?ni handsome sura kumbe akili huna!!pumbafu zako umenikera kweli
 
flora nakuona una busara sana kukaa kwako kimya ni hekima sana acha zoba lao liendelee kutapatapa,wewe mbasha unakesi ya kubaka,maliza kesi ya kubaka kwanza hayo unayoyaeleza ni matatizo ya ndoa kweli akili huna,hata za kufikiri huna vyombo vya habar havitakusaidia chochote,gwajima na flora wanaongozwa na hekima na ndo maana wapo kimya ,nilikuwa nakuheshim ss heshima yangu imeshuka sana,MWANAUME MWENYE AKILI HANA UPUUZI HUO,utaongea san kwa mtazamo huo ndoa imekushinda sizan kama kunaupendo tena hapo looooo mwanaume ww sijui kabila gani?ni handsome sura kumbe akili huna!!pumbafu zako umenikera kweli

Usihukumu mkuu maana nawe utahukumiwa...
 
flora nakuona una busara sana kukaa kwako kimya ni hekima sana acha zoba lao liendelee kutapatapa,wewe mbasha unakesi ya kubaka,maliza kesi ya kubaka kwanza hayo unayoyaeleza ni matatizo ya ndoa kweli akili huna,hata za kufikiri huna vyombo vya habar havitakusaidia chochote,gwajima na flora wanaongozwa na hekima na ndo maana wapo kimya ,nilikuwa nakuheshim ss heshima yangu imeshuka sana,MWANAUME MWENYE AKILI HANA UPUUZI HUO,utaongea san kwa mtazamo huo ndoa imekushinda sizan kama kunaupendo tena hapo looooo mwanaume ww sijui kabila gani?ni handsome sura kumbe akili huna!!pumbafu zako umenikera kweli

Mkuu unaongea na nani??
 
"Mchungaji ...yapata kama wiki mbili zilizopita nilihoji kupitia vyombo vya habari juu ya ‘utajiri' wa ghafla wa mkewangu Mara baada ya mgogoro kutokea kati yangu na yeye, bila kupoteza muda mkewangu akanijibu kupitia gazeti moja la udaku kuwa amechangiwa fedha kiasi cha milioni 9 na waumini kanisani kwako.

Mchungaji, naomba uelewe kuwa nafahamu juu ya mipango yote mnayoipanga kuliko unavyodhani!! Kwanza ni kweli kuwa mlipitisha harambee ya kumchangia mkewangu, lakini kiwango kilichopatikana kilikuwa ni milioni 2 na laki tatu na si milioni tisa kama mlivyotangaza!! Lakini mlitangaza uongo huo makusudi iwe rahisi kutimiza malengo yenu ya kidhalimu mliyoyapanga juu yangu!!

Mnamo tarehe 3 mwezi juni mwaka huu, mlifungua akaunti mpya kwa jina la mkewangu katika benki ya crdb morogoro, na siku nne baadae mkewangu aliingiziwa fedha kiasi cha milioni 18 kutoka akaunti ya MWANAMAPINDUZI FOUNDATION ambayo hyo accnt ipo nmb mwanza! Ambapo asasi hii inamilikiwa na mchungaji wako msaidizi Maximilian Machumu pamoja na mbunge wa viti maalumu kutoka mikoa ya kaskazini!

Nashukuru kama ulimpa fedha hizi kwa nia ya kumsaidia, lakini hofu yangu ni kuwa kwanini kitendo hiki kifanyike kwa kificho?? Kwanini mtumie njia za siri ambazo si rahisi watu kujua kama mmempa fedha??

Pia napatwa na mashaka zaidi kwani siku moja baada ya fedha hizi kuingizwa taarifa ya benki inaonyesha kuwa kiasi cha milioni sita cash zilitolewa na siku hiyo hiyo wapo waandishi watatu wa magazeti ya udaku ambao wanaonekana waliingiziwa fedha kiasi cha milioni moja kila mtu na aliyedeposit hizo fedha ni moja ya viongozi wako hapo kanisani!! Kuna nini hapo??

Mchungaji, naomba tusizunguke mbuyu! Ni dhahiri shahiri kuwa umekuwa na uhusiano wenye utata na mkewangu kwa muda mrefu sasa!

Binafsi nilianza kupata wasiwasi mwaka jana mwezi desemba tulipoenda katika mkutano wako wa injili pale morogoro! Mimi na mkewangu tulifikia hoteli ya kingsway msamvu na wewe ulifikia Nashera Hotel maeneo ya forest hill!!

Baada ya siku tatu za mahubiri mkutano wako ulipigwa marufuku na serikali kwasababu ya maneno yakichochezi uliyokuwa unahubiri, hvyo ikatulazimu waimbaji wote turejee dar es salaam!!

Lakini uliniomba mkewangu abaki na wewe kwani ulipanga uwe unawafanyia watu maombi pale kanisani kwako kihonda kwa muda wa siku nne!! Nilikubali na nikamuacha mkewangu nyumbani kwa dada yako pale mazimbu!! Lakini kesho yake dada yako alisafiri kwenda mwanza na ikabidi mkewangu arudi hotelini kingsway!!

Kwaa taarifa nilizonazo na nimezithibitisha kupitia wahudumu wa pale hotelini ni kuwa mkewangu hakuwahi kulala pale hata siku moja ingawa chumba kililipiwa kwa siku zote zile!! Unaweza kunijibu alikuwa analala wapi?? Je unaweza kunieleza kwanini mkewangu alikuwa analetwa nashera hoteli na taxi kila siku usiku!! Sibahatishi katika hili kwani hata namba ya dereva taxi ninayo!!

Yote haya nilivumilia, na hapa kati kati kuna mengi sana yametokea lakini nikajifanya mjinga nikajishusha nikavumilia kwa lengo la kulinda ndoa yangu isiharibike lakini naona wenzangu hambadiliki wala hamjishitukii sana sana mapenzi ndio yanzidi kuwa motomoto kati yenu!! Ulikuwa unategemea nivumilie mpaka lini, nijishushe kiasi gani, niwe mjinga kiasi gani Nilikuvumilia sana mchungaji lakini sasa imefika point hapana, imetosha lazima nikuondelee uvivu watanzania na dunia ikufahamu jinsi ulivyo na kitendo ulichonifanyaia na unataka kuniziba mdomo kwa kunitishia jela miaka 30!!!

Wewe ni mpuuzi na shetani anaishi ndani yako... na nataka nikuahidi kitu kimoja kuwa NITAKUSHINDA! Najua utanisumbua sana kutokana na hela zako but at the end, I will be the last man standing!! Narudia tena, nitakushinda.!!

Bila kusahau naomba niongee na wewe pia mkewangu, hivi ni nini kilichokukuta ndani ya moyo wako How did we get here?? Je ni fedha zilizokufanya ukengeuke kiasi hicho au kuna kingine?? Kama unanichukia mimi kiasi hiki je, uwahurumii hata watoto wetu?? Mbona tunawatengenezea mikosi wakiwa wadogo hivi?? Hivi unadhani watoto wanajisikiaje watakaposikia kuwa baba ameenda jela kwa kosa la kubaka lakini aliyechongesha muvi yote hiyo ni mama?? Hivi kisaikolojia hawa watoto watakuwaje Si watakuwa huku wanatuchukia sisi wote wawili kwa aibu na mikosi hii tunayowatengenezea Kwanini tunataka kuwataabisha watoto kwa dhambi ambayo hawajaitenda

Yes nafahamu nimekukosea mengi and am very sory for that, lakini basi embu kumbuka mkewangu nimekuvumilia mambo mangapi mkewangu, kumbuka makosa mazito uliyonifanyia lakini nikakusamehe ni sijamsimulia hata ndugu yako ama ndugu yangu ili kulinda heshima yako!! Kumbuka jinsi tulivyopogana na changamoto mbalimbali mpaka leo hii umefikia kuwa moja ya icons wa muziki wa injili hapa nchini?? Kumbuka shida, manyanyaso, dhuluma, kuchekwa na kudharauliwa ambako tumepitia mpaka leo hii tuko hapa!!!

Mkewangu, kwa miaka yote hii nimekubali nionekane bushoke tu huku watu hawajui kuwa mimi ndiye ninayechora ramani ya kila ishu yako!! Mimi ndiye nimekuwa nafatilia na kufanikisha kila kitu chako from scratch!!!

Lakini nimekubali jamii inione bushoke kwani nilikuwa najua nini mimi na wewe tunatengeneza kwa maisha yetu ya sasa na baadae!!! Nini kilichokubadilisha mkewangu Fedha Au huyo mchungaji mwanamazingaombwe

Hivi kweli kabisa umefikia hatua ya kulipa waandishi wa habari ili wanikandamize nionekane sifai katika jamii Ni nini kilichokuoata mkewangu??

Naomba uelewe kuwa binafsi siogopi kwenda jela kwasababu ya hiyo muvi mliyonizushia, kwani ni bora nikakae jela kuliko kuishi huru huku mkininyanyasa kiasi cha kuondoa utu wangu kama bidamu, lakini kinachoniuma ni familia yetu!! Kwanini watoto wateseke kwa sababu ya tamaa zetu binafsi!! Nikifikiria hilo naumia sana!

Najua kwa sasa inaonekana kama vile ni impossible kwa mimi na wewe kurudiana tena, lakini binafsi naamini tunaweza!! Najua haitakuwa rahisi kwani tumeharibu mno, lakini ni heri ya kujaribu kuliko kuendelea kufanya huu upuuzi tunoufanya sasa!!

Kumbuka hiki tunachokifanya sasa hatujajipaka matope sisi tu pekee, bali mziki wote wa injili Tanzania, na tusipotubu tukajirudi Mungu atatuhukumu kwa dhambi hii!!
Kumbuka kuwa hakuna kati yenu atakayeshinda katika hii vita, vyombo vya habari pekee ndivyo vitakavyo nufaika lakini mimi, wewe na mchungaji wote tuta loose!!

Mwisho nimalizie na wewe mchungaji, tulipokutana mara ya kwanza nilikuchukulia kama kaka na kama mlezi wetu wa kiroho!! Lakini umegeuka shetani mwenye pembe saba, umeparaganyisha familia yangu, umeleta maumivu makali kwenye ukoo!!

Nakuonya tena kwa mara nyingine, muache mkewangu!! Huyo ni mkewangu, nilimtolea mahali mimi mwenyewe na wazazi wake waliniamini na kunikabidhi!!! Nasema niachie mkewangu!!

Wewe ni nyoka, imefika time watanzania wakujue ukweli wako wewe mbwa mwitu mkali uliyevaa ngozi ya kondoo!!!

Umedanganya watu vya kutosha na umefarakanisha ndoa nyingi sana kwa sababu ya kiburi cha pesa zako chafu za sembe!! Umeudhalilisha ulokole kiasi cha kutosha imefika time tuwaeleze watanzania ukweli na wakufahamu kuwa wewe ni nyoka!!

Sitakubali kuona ukiendelea kuitesa familia yangu, nitapambana na nitakushinda!!! Siogopi fedha zako wala connection ulizonazo, ni bora nife nikiwa nimesimama kuliko kuishi nimepiga magoti!

Nitapambana na wewe mpaka mwisho ili historia isomeke vizuri ili hata wanangu wakiwa wakubwa wajue kuwa baba yao sikuwa lofa kiasi cha kupiga magoti na kuelekeza shingo kibla kuruhusu mdhalimu kama wewe uichinje familia yangu, bali licha ya umasikini wangu nilisimama kiume na kupigana kutetea familia yangu!!!

Narudia tena mchungaji, nitapambana na nitakushinda.."

Hivi bado kuna watanzania wanaoamini kila kitu wanacholetewa????Kaaazi kweli kweli, sasa hapa tukiulizana nini kinachowafanya watu wasadiki kua iyo ni barau ya Mbasha kweli, naamini watu watakosa majibu pamoja na kukurupukia hii thread,wengine hata kujibizana kwa jazba, Ni nani asiyeweza kuandika barua kama iyo humu?? Hili swala tuwaache wenyewe aisee Waliharibu ndoa yao sasa waitengeneze
 
loban;
Nimefurahi sana kwa sababu sasa naamini unamwunga mkono Flora kuwa alifanya sawa sawa kabisa. Uibiwe mume tena mume mwizi wa nyumbani mwake mwenyewe. Ungelimfanyaje? Vaa weye viatu vya Flora. Alaa!
Flora alifanyiwa uovu usioonekana, alilambiwa mdogo wake walioshiriki ziwa moja na mume aliyekuwa anamwamini halafu mume huyo huyo paka shume akamwandika magazetini. Tena baada ya kumnyima ada ya mtoto wao wala si wa kufikia.
Akaenda kutafuta msaada, akaupata kwa sababu ya huruma za watu. Dume likaona kuwa kwa kuwa mkewe kapewa msaada, sasa hawezi kumkunja twna atakavyo. Ndo akaanza maneno kwenye vyombo vya habari. Kila kukicha, nimechapiwaaaa, nimechapiwaaaa!
Kwani yeye ndo wa kwanza kuchapiwa??? Mbasha wako ana lake jambo. Hata akane namna gani, kama alimlamba mdogo wake Flora, atafute njia ya kumalizana naye kabla hawajafikishana kwa Pilato. Mvua 30 zamngojea Segerea na hilo sio tishio ndo ukweli wenyewe huo. Sorry I have no other words to put it.
Asijifanye Kigogo akimtishia Gwajima. Atamwacha mkewe alifaidiwa, na hasira aliyo nayo mkewe, sijui ka atamaliza mwezi akijikunyata mwenyewe.
Mwambieni enyi washauri wake; Neno samahani mbona la kawaida tuuuu:hail:

NYAMAZA WEWE HUJUI HATA UNAONGEA NINI MASIKINI WEEEE! ONA sasa aliykuambia huyo binti aliyetengenezwa ni ziwa moja na flora ni nani hata ile CLIP YA FROLA mwenyewe hujaiona omba upewe!.....keep quet!!!
 
mwanaume mwenye akili hawezi kufanya hivyo hapa napata picha kuwa mbasha anataka aonewe huruma baba una kesi ya kubaka maliza hiyo kesi hayo unayoyamwaga ni matatizo ya ndoa utamalizana na mwanandoa mwenzio,kingine mbona unaonekana umedharauliwa mm sijaona flora analalamika namna hiyo yupo kimya hapa nazidi kumpenda maana ana busara

we mgeni nini,FROLA MPAKA KUNA CLIP YAKE alivyolalama mara anatishiwa kuuawa mara sijui hajui shetani gani kamuingia MBASHA.........................! ITAFUTE IYO CLIP itakusaidia kumpenda sana.
 
duh! akikosea mdogo aadhibiwe na kurejeshwa. Akikosea mkubwa, hao walio wadogo wajifunze mapema! Mjini shule.
 
Hivi bado kuna watanzania wanaoamini kila kitu wanacholetewa????Kaaazi kweli kweli, sasa hapa tukiulizana nini kinachowafanya watu wasadiki kua iyo ni barau ya Mbasha kweli, naamini watu watakosa majibu pamoja na kukurupukia hii thread,wengine hata kujibizana kwa jazba, Ni nani asiyeweza kuandika barua kama iyo humu?? Hili swala tuwaache wenyewe aisee Waliharibu ndoa yao sasa waitengeneze


Oya sio lazma u quote thread nzima !
Unatukera tunaotumia simu !

Amani kiroho safi !
 
Hapo sasa wanasema kila shetani na mbuyu wake mbuyu wa Much. Gwajima Uko wapi?
 
BONGOLALA, I have always put it straight, hakuna ulokole duniani! hawa ni wahuni tu wa tumbo. Nawe Mbasha ni lofa, utamuachaje mke wako na mwanamume ?
Alimuachia awaombee watu kanisani,mmmm mambo mengine nayo yani unayajua yote hayo bado huchukui hatua,unakumbuka shuka kumekucha,chamsingi punguza Jazba na usitumie maneno makali nimapema sana,ivi ulijua kama mchungaji anarigia pesa za Sembe tangu lini?
 
NYAMAZA WEWE HUJUI HATA UNAONGEA NINI MASIKINI WEEEE! ONA sasa aliykuambia huyo binti aliyetengenezwa ni ziwa moja na flora ni nani hata ile CLIP YA FROLA mwenyewe hujaiona omba upewe!.....keep quet!!!

Heloo;
Mbona tena ukali ndg??? Awe wa kuchonga au wa kweli, nini tatizo? Paka shume ni paka shume tuuu. Jamaa yako kishanuka shombo hata umwoshe kwa matisho yako haisaidiii. Yu just keep quiet.
 
Kamwambie huyo Mbasha kuwa yeye ni Bushoke tu na mpuuzi. Mwanaume kabisaaaa anakuambia umwachie mke wako eti wanapanga maombi halafu unakubali tu!!!!! Halafu unapata habari kuwa mkeo hakuwa akilala hotelini kwake bali alikuwa akipelekwa kwa mchungaji kutoa huduma halaf eti wewe uko kimya tu unajidai unalinda ndoa!! Akajifunze kwanza kuwa na mipaka na kusema NO kwa mambo ya kipuuzi hata kama anayeyaleta anajiita MCHUNGAJI, PROPHET, NABII, MTUME na majina yanayofanana na hayo.
 
Taratibu Gwajima anafunuliwa. Acha movie iendelee.
Ova
 
Hawa watu hawana washauri?

Stoic vipi bwana??? wewe ni mmoja wa hao washauri. ni nini ushauri wako?
 
Back
Top Bottom