Barua kutoka London: Wazungu ni wabaguzi sijawahi kuona

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,932
Reaction score
4,544
Habari za huko nyumbani wakuu?

Nimeshuhudia kioja cha mwaka hapa London jmapili iliyopita,ilikuwa ni majira ya saa 12 jioni,wakati rafiki yangu kutoka nyumbani aliponiomba nimpe kampani kwa demu wake anayeishi east London,jamaa ana demu wa kizungu.

Dakika 40 baadae tukiwa ktk mazungumzo huku tukipata mbili tatu,mara kengele ya mlango iliita,binti kakimbilia mlangoni kufungua huku akiuliza ''who's that knocks?" nani huyo anagonga? ile kufungua mlango, anakutana uso kwa uso na mama yake mzazi,wanasalimiana kisha mama kuchoma ndani,duuuh! mama anatoa miwani,na kututazama kwa dharau na kisha anamgeukia mwanae na kumwambia"have you brought ebola in my home? take them away with you,they don't match us!" umeleta ebola nyumbani kwangu? ondoka nao hawaendani nasi.

Siyo siri nilichoka kidume mie,ikanikumbusha jinsi rais Goodluck Jonathan wa Nigeria alivyowahi kutua JFK airport new york na akapimwa kwanza ebola kabla ya kuruhusiwa kuingia US kwanza.

Wazungu wanatudharau sana sie weusi,hujiona ni binadamu first class!
 
Mapenzi hayana macho!! Mtie mimba huyo binti muone kama huyo mama yake ataendelea kusema kuwa hamuendani!!
 
ungeniambia kent au watford, einfield ningekuelewa lakini london tena east? ubaguzi wanaufanyia behind the closed door especially wa kuongea maneno hayo
 
hivi unasema kweli hujawahi kuona au ndo basi tu kunogesha uzi.ubaguzi bado upo sana kwahiyo usiwachekee wazungu ukiwaona wamefika tz.maanake watz tukiwaona wazungu tunawachekea meneno yote 32 nje.subiri ukutane nao kwao ndo utajua true color. we nawe kilakitu unatuambia sidhani kama ni mara ya kwanza kufika ila basi tu ....
ungeniambia kent au watford, einfield ningekuelewa lakini london tena east? ubaguzi wanaufanyia behind the closed door especially wa kuongea maneno hayo
 

nimeishi london for three years
 


Si urudi nyumbani kwani huku umeua aiseeeeeee
 
Nasemaga wazi na bila kificho kuwa nawachuki wazungu mara milioni moja kuliko wanavyotuchukia mablackie beauty
 
Korea waliweka na tangazo kabisa ndo maana nikimuona mweusi anamshobokea ngozi ya kitimoto namuona kituko cha mwaka na msaliti mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…