Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Sitaki kuleta habari za shehe Yahaya lakini huyu chalii atakua na mwisho mbaya asipokua makini! Au hizi K kazijulia ukubwani? Ukizingatia na 'mbolea' ya mapenzi ndio imekubali basi anawagegeda tu!
Swala hapa sio wivu, ila kama vijana lazima tushauriane, ukijifanya 'kibolodinda' na kutumia 'kalamu' yako vibaya kila sehemu waandika tu, kuna sehemu nyingine zina mafuta na hazifai 'kalamu' itagoma..! Then mwisho wa siku,its all over! So watch out..haya maisha tu!
Swala hapa sio wivu, ila kama vijana lazima tushauriane, ukijifanya 'kibolodinda' na kutumia 'kalamu' yako vibaya kila sehemu waandika tu, kuna sehemu nyingine zina mafuta na hazifai 'kalamu' itagoma..! Then mwisho wa siku,its all over! So watch out..haya maisha tu!