MAKULILO
Member
- May 30, 2010
- 84
- 95
Wiki iliyopita, Ijumaa February 10 mwanangu wa kwanza, Benedikt Fulbright Makulilo alitimiza mwaka mmoja. Binafsi niliona kuachilia vitu kama keki na zawadi nyinginezo ndogondogo ambazo ni ngumu kukumbuka, nikaona ni vyema nimwandikie ujumbe/barua moja ndefu ambayo akikuwa akiisoma ataiweka katika kumbukumbu zake.
Barua yenyewe ni hii hapa: MICHUZI: hepi besdei ya kuzaliwa benedikt fulbright makulilo
Na hii itaendelea kuwa ni tamaduni yangu ktk kila birthday ya mwanangu/wanangu nitakuwa nawaandikia barua, hata kama nikiwa mzee. Binafsi sipendi kununua kadi na kuweka jina la mtu tu, napenda kutafuta ujumbe mwenyewe na kuuandika toka awali.
Nawatakiwa siku njema
MAKULILO
Barua yenyewe ni hii hapa: MICHUZI: hepi besdei ya kuzaliwa benedikt fulbright makulilo
Na hii itaendelea kuwa ni tamaduni yangu ktk kila birthday ya mwanangu/wanangu nitakuwa nawaandikia barua, hata kama nikiwa mzee. Binafsi sipendi kununua kadi na kuweka jina la mtu tu, napenda kutafuta ujumbe mwenyewe na kuuandika toka awali.
Nawatakiwa siku njema
MAKULILO