kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kucheza na jukwaa kunaondoa umakini uwanjani, kunaongeza wasiwasi kama ukipoteza nafasi, ukipigwa chenga, timu ikichelewa kupata bao na ukifanyiwa substitution. Kutetema kunamfanya mayele ahitaji nafasi 6 ili atumie vizuri nafasi moja vizuri, hiyo sio sawa. kwa upande mwingine Phiri wa Simba anahitaji nafasi 3 tu ili atumie moja vizuri kwakuwa Phiri hachezi na jukwaa kama Mayele, Inonga na Morrison.
Makambo ni bora pia kwenye target, mwiingize uwanjani acheze dk 20 sio dk 4 za sasa. Wachezaji kama Nkane, Ambundo, Farid na mauya ni wachezaji hatari sana wasioonekana kwenye mipango na maandalizi ya adui, watumie sana hawa vijana kama ukiona mambo yamekwama uwanjani, utaona matunda yake.
Makambo ni bora pia kwenye target, mwiingize uwanjani acheze dk 20 sio dk 4 za sasa. Wachezaji kama Nkane, Ambundo, Farid na mauya ni wachezaji hatari sana wasioonekana kwenye mipango na maandalizi ya adui, watumie sana hawa vijana kama ukiona mambo yamekwama uwanjani, utaona matunda yake.