Wajita jipangeni basi kutafuta mtu, MJITA wenu ambaye anaubavu wa kushindana na Mhe. Nimrod Mukono. Tatizo ni kuongea sana YEGO MWAMBA lakini hakuna tija. Ila niwaonye jambo moja, TABIA YA UKABILA MLIYOIONYESHA wakati wa kampeni za mwaka 2005 ndiyo iliyowaponza. Wekeni ukabila pembeni na mshikamane kwa pamoja na Bw. Mukono. Si afadhali amewaletea mabati ya kuezekea shule, je ninyi mumeweka juhudi gani au mnadhani Mbunge ndiyo kila kitu yaani awaletee kila kitu nyie mmebweteka tu.
PUNGUZENI au ACHENI KABISA UKABILA WATU WA MUSOMA VIJIJINI.
Nikupateje,
Nimekupata kweli kweli. Sasa tufanyeje ili tuweze kuadress matatizo ya Nyanja na Majita nzima? Nasema hivi kwa sababu kulalamika peke yake hakutoshi. Lazima tuangalie solutions na tutafute njia za kuzifikia hizo solutions. Mimi tangu familia yangu itoke Majita ni kitambo lakini bado naji- identify kama mtu wa huko. Kama kuna lolote tunaloweza kufanya individually and as a group naomba unihesabu kwenye kundi. Lakini pia ni upotofu kufikiria kuwa Kikwete anaweza kusaidia. Nendeni kwenye jimbo lake muone alifanya nini miaka yote aliyokuwa mbunge kule.
Wajita jipangeni basi kutafuta mtu, MJITA wenu ambaye anaubavu wa kushindana na Mhe. Nimrod Mukono. Tatizo ni kuongea sana YEGO MWAMBA lakini hakuna tija. Ila niwaonye jambo moja, TABIA YA UKABILA MLIYOIONYESHA wakati wa kampeni za mwaka 2005 ndiyo iliyowaponza. Wekeni ukabila pembeni na mshikamane kwa pamoja na Bw. Mukono. Si afadhali amewaletea mabati ya kuezekea shule, je ninyi mumeweka juhudi gani au mnadhani Mbunge ndiyo kila kitu yaani awaletee kila kitu nyie mmebweteka tu.
PUNGUZENI au ACHENI KABISA UKABILA WATU WA MUSOMA VIJIJINI.
Kuna mtu kaleta wazo nalikubali kwamba lianzishwe jimbo jipya la uchaguzi liitwe MAJITA libebe kuanzia Nyegina, Mukirira, Mugango, Buruma, Kiriba, Busumi, Murangi, Bukima, Chumwi, Mabhui Merafuru, , Majita na iishie Muhoji. maanahapo ndipo unapoanza kuwapata wakurya.