Nikupateje,
Nimekupata kweli kweli. Sasa tufanyeje ili tuweze kuadress matatizo ya Nyanja na Majita nzima? Nasema hivi kwa sababu kulalamika peke yake hakutoshi. Lazima tuangalie solutions na tutafute njia za kuzifikia hizo solutions. Mimi tangu familia yangu itoke Majita ni kitambo lakini bado naji- identify kama mtu wa huko. Kama kuna lolote tunaloweza kufanya individually and as a group naomba unihesabu kwenye kundi. Lakini pia ni upotofu kufikiria kuwa Kikwete anaweza kusaidia. Nendeni kwenye jimbo lake muone alifanya nini miaka yote aliyokuwa mbunge kule.
Nimekupata kweli kweli. Sasa tufanyeje ili tuweze kuadress matatizo ya Nyanja na Majita nzima? Nasema hivi kwa sababu kulalamika peke yake hakutoshi. Lazima tuangalie solutions na tutafute njia za kuzifikia hizo solutions. Mimi tangu familia yangu itoke Majita ni kitambo lakini bado naji- identify kama mtu wa huko. Kama kuna lolote tunaloweza kufanya individually and as a group naomba unihesabu kwenye kundi. Lakini pia ni upotofu kufikiria kuwa Kikwete anaweza kusaidia. Nendeni kwenye jimbo lake muone alifanya nini miaka yote aliyokuwa mbunge kule.