Barua kwa Rais Samia kuhusu kashfa za Balozi Mteule wa Rwanda nchini Tanzania, Jen. Patrick Nyamvuba

Aina Ya Akina Niyombare Aliyetaka Kumpindua Hayati Nkurunziza
 
Kuna mengi umeyakwepa kwa maslahi mapana nashauri Rais akupe nafasi uende ikulu kwa siri tena mazingira very private, nina Imani tosha kuwa Mkuu wa TISS wa sasa anajua mengi sana, nilidhani niko peke yangu ambae nawajua Hawa watu na historia ya Great lakes conflicts. Aggression policy and expansionism theory ya watusi ni kiapo cha kuzimu
 
Unapenda sana kujinasibisha na rwanda wakati tunakujua ni maamuma mmoja kutoka viunga vya kawe ukwamani..
Sasa kama kila mara nakupa Mimba zangu Tukuka kwanini usinijue Mbandika Mimba wako Mimi GENTAMYCINE?
 
Sasa kama kila mara nakupa Mimba zangu Tukuka kwanini usinijue Mbandika Mimba wako Mimi GENTAMYCINE?
Wewe ni maamuma..
Katika mambo ya msingi ni wapumba.vu tu ndio huwa unawakusanya na porojo zako za kipuuuz
 
Ahsante Mkuu, unaweza kutusaifia kutuwekea katika lugha yetu, tupate elimu zaidi wengine shule msingi. Kaka uta edit uweke kwa kiswahili itakuwa bora zaidi.

Tukiambiwa kuna umuhimu wa serikali kukazia umahiri kwa waalimu wa somo la lugha ya kigeni ya Kiingereza ngazi ya vidudu, msingi hadi sekondari O na A level ili tuende sawa maeneo mbalimbali ikiwemo diplomasia na masuala mengine mengi ajira, uwekezaji n.k watu wanasema hakuna umuhimu wa lugha ya Kiingereza.

Sasa tukisoma andiko hili ktk lugha hizi rasmi za Tanzania yaani Kiswahili na Kiingereza tunaona kabisa, andiko ktk kiingereza limebeba kiini (issue) vizuri kabisa na kwa uzito unaoeleweka ambao lugha ya Kiswahili imefeli kuwasilisha suala hili na kuegamia hoja za kimhemuko zaidi ya kuainisha masuala vizuri.
 
Mkuu huu sio muda wa mabishano ni muda wa kuelimishana masuala muhimu ya kitaifa. Kama huwezi Mkuu, Ahsante kwa mchango wako
 
Waliomshauri nani? Kagame? Kafanya kusudi kututukania Jeshi letu JWTZ na Taifa kwa ujumla.
Si hao huwa wanateuliwa na rais-Kagame? Sasa ina maana walidhani hatumjui huyo jamaa na skendo zake na machungu aliyotusababishia?
 
Si hao huwa wanateuliwa na rais-Kagame? Sasa ina maana walidhani hatumjui huyo jamaa na skendo zake na machungu aliyotusababishia?
Amefanya makusudi, hilo tusi na dhihaka kwa Taifa letu kwa njia kidiplomasia.
 
Ahsante Mkuu, unaweza kutusaifia kutuwekea katika lugha yetu, tupate elimu zaidi wengine shule msingi. Kaka uta edit uweke kwa kiswahili itakuwa bora zaidi.

Nitajaribu kuweka ktk lugha yetu hii adhimu ya KiSwahili ingawa kuna changamoto haina maneno sahihi, nanukuu baadhi " diplomatic maneuvers have ignited a storm of controversy and apprehension profound ... maelstrom is the contentious 1700-word opus, a fusion of article and advisory, shared ......." ili kuileta maana bila kupunguza, kuchakachua au kupoteza maana halisi.

Nipo na kamusi 4 ya kiswahili ya
TUKI (Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UDSM), Kiingereza, Diplomasia na Sheria kujaribu kuelezea hayo ya ziada mazito.
 
Tutamshughulikia yeye aje tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…