Barua kwa Rais Samia kuhusu kashfa za Balozi Mteule wa Rwanda nchini Tanzania, Jen. Patrick Nyamvuba

Nonsensical and absolutely Rub

Urafiki wa mashaka.
 
Hongera sana Mkuu kwa uchambuzi ulionyooka,sina shaka na uchambuzi wako.Nadhani wenye mamlaka nao ni wakati wao kufuatilia udhalimu huo wa General Nyamvumba.Nawaomba wahusika wasipuuzie hilo.
 
Tunaomba soft copy
 
Hata mimi na kuishi kwangu kijijini, ila bado sijaelewa lengo kuu la Rwanda la kumteua mtu aliyewahi kushika madaraka ya juu ya kijeshi katika nchi yake; kuwa balozi kwenye nchi yetu.

Inawezekana kuna kitu wanakipanga hawa Wanyarwanda.
 
Detailed but kilichoniboa ni hiyo ndugu rais kila para

She knows she is the addressee
 
Hana hoja hy
Mkuu Genta, hebu tupatie nondo za uhakika ili tusiiamini hiyo nonsensical and absolutely rubbish info. ya barua ya wazi aliyopelekewa Mh. Rais wa JMT.
Asante.
huyo popoma tu
 
Salute Salute nimekuelewa sana sana...TISS najua wanajua mengi juu huyu mkuu...kufanyia kazi...
 
Desa limeshiba kazi kwa Tiss Tz, wamelala usingizi wa pono mpaka raia wameenda front aisee.
Unajuaje labda ndiyo walioandika hili desa?
Maana siku hizi wanashambuliwa na kushutumiwa kweupee huku wanasiasa ambao ndo wahusika wakuu wa makando hayo wakipiga kimya na kuwacha chombo chetu kiteule kichafuliwe mbele ya jamii...

Uandishi wa hili desa ni wazi akili kubwa imetumika na codes kibao zimewekwa kwa kufichwa ambapo wanaomsomea insha Rais watamfafanulia mengi zaidi ya kilichoandikwa
 
Walipaswa kutoa hints mapema kwa Mama wakati tuu majina yameletwa ili hili lisiwe hadharani kama ilivyokuwa. Pia kama wao ndio watoaji wa hili desa wamefeli makubwa kutoa kwenye mtandao badala ya kulipeleka official kwa mama.
 
"Bahima Empire"
 
Ule mpango wa Watusi kuomba kupewa mkoa wao na kutambuliwa mlidhani wanatania? Huyu Nyamvumba na Mzee wa mikakati, handing sehem kama hakuna operesheni za Siri. Haziwezekani Rwanda ambao wanakabiliwa na mambo mengi ya kimkakati waamue kumleta Mtu wao muhim Nyamvumba kuja kurelax Tanzania!?? Wakati Kuna mambo mengi sana ya kwenda kutekeleza. Basi tambua hapa Tanzania Kuna KAZI muhim ya kufanya kwa Nyamvumba ambayo ni Maslahi ya Watusi. Lazima baada ya Samia Rais awe Mtusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…