Barua kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi

Barua kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi

Kufa c mwiko

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
752
Reaction score
320
Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kitaifa na mwenyezi Mungu akutangulie, sisi wakazi wa bwawa la Mtera tuna maombi kwako tangu mwaka 2019.

Bwawa la Mtera limesitisha kabisa uzalishaji wa samaki bwawa hili limepita kwenye wilaya tatu kwa maana ya mpwapwa, Chamwino na irnga vijijini uchumi wa watu hao unategemea biashara ya samaki pekee.

Sasa kukosekana kwa samaki kwenye bwawa hilli kumefanya familia nyingi kuachwa aidha mwanaume kukimbilia mikoa mingine kutafuta maisha au wanawake kuwakimbia waume zao kwasababu ya maisha kuwa magumu.

Sasa Mh WAZIRI tunakuomba uje tujadiliane namna ya kuokoa hali hii kwani ni mwaka wa 5 huu hali ya maisha imekuwa ngumu sana ikiwezekana tuletee watafiti achunguze ni kwanini samaki wametoweka wote na kuleta suruhisho nikutakie majukumu mema ya kitaifa.

Asalaam aleikum.JamiiForums

 
Nianze kwa kukupa pole na majukumu yako ya kitaifa na mwenyezi Mungu akutangulie, sisi wakazi wa bwawa la Mtera tuna maombi kwako tangu mwaka 2019.

Bwawa la Mtera limesitisha kabisa uzalishaji wa samaki bwawa hili limepita kwenye wilaya tatu kwa maana ya mpwapwa, Chamwino na irnga vijijini uchumi wa watu hao unategemea biashara ya samaki pekee.

Sasa kukosekana kwa samaki kwenye bwawa hilli kumefanya familia nyingi kuachwa aidha mwanaume kukimbilia mikoa mingine kutafuta maisha au wanawake kuwakimbia waume zao kwasababu ya maisha kuwa magumu.

Sasa Mh WAZIRI tunakuomba uje tujadiliane namna ya kuokoa hali hii kwani ni mwaka wa 5 huu hali ya maisha imekuwa ngumu sana ikiwezekana tuletee watafiti achunguze ni kwanini samaki wametoweka wote na kuleta suruhisho nikutakie majukumu mema ya kitaifa.

Asalaam aleikum.JamiiForums

Ni kweli kabisa sikuamini kuona leo Mtera wanakula samaki waoletwa kutoka Mwanza Mtera imepauka haifai tena hali ni Tete sijui ni nini kimelikumba bwawa la Mtera kupotea kwa samaki
 
Back
Top Bottom