yamoyoni mwangu
Senior Member
- Oct 25, 2013
- 106
- 31
Watanzania wenzangu hasa wadau wa elimu nchini habari zenu.......!
Awali ya yote nipende kumshukuru mwenyezi mungu muweza wa yote kwa kunijalia afya njema, amani moyoni ili kuwaandikia waraka huu wa TAHADHARI, ONYO na ILANI kwa walimu wangu wapendwa hapa nchini.... najua mnafanya kazi kubwa ya kuwafunza wadogo zetu maadili mema.... kwani binafsi naamini mwalimu ni mlezi na mzazi vijana wetu.... HONGERENI KWA HILI......
Najua tasinia ya elimu nchini imekumbwa na changamoto nyingi ambazo zinakwamisha jitihada za maendeleo ya elimu nchini kwetu... naomba nikiri wazi kuwa kazi mnayoifanya walimu wangu wapendwa ni ngumu na imegubikwa na changamoto nyingi... hasa kwa kizazi hiki cha dot com poleni...
Wapendwa walimu wangu najua next week vijana wetu kidato cha nne wanaaza mitihani yao ya mwisho.... nakumbuka kipindi nasoma mimi wakati kama huu kwangu ulikuwa mgum sana wenye kila aina ya changamoto nyiingi... walimu wangu wapendwa najua kuna baadhi yenu huitumia chance kufanya ufusika mkubwa kwa wanafunzi (hasa waschana) mnaitumia nafasi hii kuwadanganya madada zetu et wanamitihan ya necta hivyo wafanye juu chini wawaone.... baada ya muda wa kazi hasa usiku et muwasovie maswali ya mitihani hiyo... kumbukeni mwanafunzi yeyote anamwamini sana mwalimu wake hivyo mnajua lazima watakuja tuu... wakifika huko mnawapa masharit ya kufanyanao ngono kwanza et muwape hiyo pepa... hata wanaokubali kufanya hivyo mwisho wa siku nawapa mitihani feki na mwisho wake wanafel vibaya na kuongeza rundo la division 0 mtaani..
Nayasema haya kwa uchungu mwingi kwani ninayo mifano hai mingi tu ya kutoshaa.. kwa macho yangu nimeshuhudia mabinti wengi wakipewa mimba na walimu wao kwa suala hilohilo.... tena mbaya zaidi walipata division 0 wakati najua wazi msingewapa hayo matango pori wangefanya vizuri kwani walikuwa na uwezo mzuri darasani..... natoa ilani kwa walimu wangu najua hata mwaka huu mmejipanga kufanya hivyo hivyo..... asabuhi ya leo mdogo wangu wa kike amenipigia simu et mwalimu wake wa history amemwambia amtafute kuanzia saa 2 usiku kuna maelekezo muhimu anataka kumpatia na kumtishia et asipofanya hivyo lazima atafeli tuu... mimi nitaanza na mwalimu huyu kama mfano kwa wengine bahati nzuri namba yake ya simu ninayo, na ninamufahamu vizurii.... sasa kama kuna walimu wengine wa muundo huu... mjipange vinginevyo mtafia segerea.....
SINA MENGI ZAIDI YA UTEKELEZAJI WA NILCHOKISEMA
Ahsanten kwa kuisoma thread hiii.....
Awali ya yote nipende kumshukuru mwenyezi mungu muweza wa yote kwa kunijalia afya njema, amani moyoni ili kuwaandikia waraka huu wa TAHADHARI, ONYO na ILANI kwa walimu wangu wapendwa hapa nchini.... najua mnafanya kazi kubwa ya kuwafunza wadogo zetu maadili mema.... kwani binafsi naamini mwalimu ni mlezi na mzazi vijana wetu.... HONGERENI KWA HILI......
Najua tasinia ya elimu nchini imekumbwa na changamoto nyingi ambazo zinakwamisha jitihada za maendeleo ya elimu nchini kwetu... naomba nikiri wazi kuwa kazi mnayoifanya walimu wangu wapendwa ni ngumu na imegubikwa na changamoto nyingi... hasa kwa kizazi hiki cha dot com poleni...
Wapendwa walimu wangu najua next week vijana wetu kidato cha nne wanaaza mitihani yao ya mwisho.... nakumbuka kipindi nasoma mimi wakati kama huu kwangu ulikuwa mgum sana wenye kila aina ya changamoto nyiingi... walimu wangu wapendwa najua kuna baadhi yenu huitumia chance kufanya ufusika mkubwa kwa wanafunzi (hasa waschana) mnaitumia nafasi hii kuwadanganya madada zetu et wanamitihan ya necta hivyo wafanye juu chini wawaone.... baada ya muda wa kazi hasa usiku et muwasovie maswali ya mitihani hiyo... kumbukeni mwanafunzi yeyote anamwamini sana mwalimu wake hivyo mnajua lazima watakuja tuu... wakifika huko mnawapa masharit ya kufanyanao ngono kwanza et muwape hiyo pepa... hata wanaokubali kufanya hivyo mwisho wa siku nawapa mitihani feki na mwisho wake wanafel vibaya na kuongeza rundo la division 0 mtaani..
Nayasema haya kwa uchungu mwingi kwani ninayo mifano hai mingi tu ya kutoshaa.. kwa macho yangu nimeshuhudia mabinti wengi wakipewa mimba na walimu wao kwa suala hilohilo.... tena mbaya zaidi walipata division 0 wakati najua wazi msingewapa hayo matango pori wangefanya vizuri kwani walikuwa na uwezo mzuri darasani..... natoa ilani kwa walimu wangu najua hata mwaka huu mmejipanga kufanya hivyo hivyo..... asabuhi ya leo mdogo wangu wa kike amenipigia simu et mwalimu wake wa history amemwambia amtafute kuanzia saa 2 usiku kuna maelekezo muhimu anataka kumpatia na kumtishia et asipofanya hivyo lazima atafeli tuu... mimi nitaanza na mwalimu huyu kama mfano kwa wengine bahati nzuri namba yake ya simu ninayo, na ninamufahamu vizurii.... sasa kama kuna walimu wengine wa muundo huu... mjipange vinginevyo mtafia segerea.....
SINA MENGI ZAIDI YA UTEKELEZAJI WA NILCHOKISEMA
Ahsanten kwa kuisoma thread hiii.....