Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,909
aaaaiseee!! mmmh.... will be back after a short break!
Mjukuu mwenza, unamjua Jannet nini!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aaaaiseee!! mmmh.... will be back after a short break!
I always hate people who create HI virus 4 their own benefit,my God give them a nice reward!
as a scientist u are not deemed to think that way broda! well,it has had its benefit, who knowa maybe overpopulation ingelemea dunia! tunavyopenda kujamiiana siku hizi bila hiv si mimba zingekutana mwilini?
duuh. . . . Inagusa sana!
Oooh...Magulu, pole sana Mangi..
at least Jannet alikupenda kwa dhati...alikupenda akakulinda!
Ninapatwa na hofu nikifikiria Jannets wa siku hizi...si atasema tufe wote tu!??
mh...
aaaaiseee!! mmmh.... will be back after a short break!
huenda eeehhh anamjua?Mjukuu mwenza, unamjua Jannet nini!??
Mkuu hiyo ni kumbukumbu ya maisha na ulikuwa na real love to her
Kwa sasa mkuu pambana na maisha yako songa mbele maana yaliyopita yamepita japo kuyasahau ni ngumumkuu nimekunyaka na asante sana...
Mhhhh!!! kama kuna ukweli vileee!!!as a scientist u are not deemed to think that way broda! well,it has had its benefit, who knowa maybe overpopulation ingelemea dunia! tunavyopenda kujamiiana siku hizi bila hiv si mimba zingekutana mwilini?
Mhhhh!!! kama kuna ukweli vileee!!!
Kwa sasa mkuu pambana na maisha yako songa mbele maana yaliyopita yamepita japo kuyasahau ni ngumu
She will be always in ma mind.....
Ahadii mutu yangu jamani hata wewe U need break? how short will take?
Mjukuu mwenza, unamjua Jannet nini!??
I accept that bro and real it will hurt you for long time ila jaribu kusahau fanya mambo mengine na endelea na maisha yako
Nilikua na maneno mengi juu ya hii Baru Magu... but ndoa yangu ya jamvini ilikua ime shake hivyo kuweka mambo sawa kwanza...lol..
Nimeiipenda Barua na naomba nitoe analysis ya hio Barua...
Maana imenipa an insight about you very impressive
About Magu
A very caring man, kabahatika kupata penzi la kweli, anajua ku-express mapenzi
yuko focused na si rahisi kushawishika (yawezekana una principles za kutotembea na rafiki wa mpenzio)
ila haina maana kua angekua mwingine ni guarantee ungekataa... Ni wachache hupeleka wapenzi
sehemu asilia as in watching the stars and moon...na the like, wengi hupeleka party, hotels, yaani
sehemu ambayo itawezesha muweze do.. I hope you have not changed... Hongera bana...
@ Jannet
Wadada (hata wakaka ) wa namna hii ni adimu... adimu mno... and it makes you feel for her
But then unarudi kwako mwenyewe as an individual na kuanza kutafakari... atleast anajitambua
na kuweza protect wale anapenda... JE wangapi wanaweza... She seems to be a Great Woman
aina ya wadada napenda saaaana nifahamu, nijue msimamo na ufikiri wao ili niweze ongeza nilipo...
Anajitambua... hajakata tamaa na maisha for she has loved... Na anajua nini anataka... with
tha spirit... waweza kuta yupo hata hai mpaka sasa... Magu i hope ulifanya lolote
kuonesha ulithamini mno jinsi alivyokuthamini mno...
I Love it.... Thank you for sharing...:A S-rose:
mkuu kila niwazapo jannet is between, kila nikilala before I mention her name, na nikiamka jannet is ma first thing after god...she made me strong as i made her lkn kwa bahati mbaya alioondoka....
Because thats where the animals are (aficans that is).mkuu lkn hapo kidogo niko kinyume na wewe...kwa nini kama kweli ilikuwa na benefits kwa nini test iwe Africa? kila siku hili bara ni la test tuuuuuuuuuuuuuuu?