Barua ya kuomba uhamisho kwenda mkoa mwingine

Barua ya kuomba uhamisho kwenda mkoa mwingine

vamda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
895
Reaction score
571
Ndugu wana JF. Naomba kufahamishwa endapo mwalimu ameandika barua kwa ajili ya kuomba uhamisho kwenda mkoa mwingine. Na barua hiyo ikapitishwa na mkurugenzi wake, je akitaka kuipeleka ikasainiwe na mkurugenzi wa mkoa mwingine anastahili kupewa barua yake original au photocopy? Wadau nasubiri majibu yenu.
 
Back
Top Bottom