Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
Kama inavyoelezea hapo juu,
Uwe na ama Comprehensive au Third part Insuarance, ama umegonga au umegongwa, kutoa taarifa kwa haraka Kwa Kampuni ya Bima ni jambo la msingi sana.
Mfano wa Barua hiyo, ni kama hii niliyokuambatanishia.
Unaweza kufuatilia jambo lako wewe mwenyewe, au ukatumia ''Insurance Loss Assessors''Kampuni yaliyajiriwa na Bima kukusaidia kufuatilia. Makumpuni hayo yanapatikana kwenye link ifuatayo Loss Adjustors/Assesors | Tanzania Insurance Regulatory Authority.
Nakutakia mapambano mema.
Uwe na ama Comprehensive au Third part Insuarance, ama umegonga au umegongwa, kutoa taarifa kwa haraka Kwa Kampuni ya Bima ni jambo la msingi sana.
Mfano wa Barua hiyo, ni kama hii niliyokuambatanishia.
Unaweza kufuatilia jambo lako wewe mwenyewe, au ukatumia ''Insurance Loss Assessors''Kampuni yaliyajiriwa na Bima kukusaidia kufuatilia. Makumpuni hayo yanapatikana kwenye link ifuatayo Loss Adjustors/Assesors | Tanzania Insurance Regulatory Authority.
Nakutakia mapambano mema.