mmh baba hela ya ghafla ina uzalendo kweli?leo hii kila ct ina budget ndo ghafla uambiwe laki inakatwa..itatoka wapi nawe ubakiwe na ngapi?lazima mshtuko utokee
pole sana kwa mshutuko! sie tupo na biashara zetu za genge, tunauza nyanya, dagaa, samaki nk nk! sie hatuelewi loan board, sie tunalewa vicoba hata saccos tumeshasahau sasa hv! unajua nchi yetu ya matukio, msimu uliopita saccos ilibamba, msimu huu vicoba inatubamba, sie tunakuaga na ile inayobamba!