Barua ya Loan Board Kuna aliyepata?

Barua ya Loan Board Kuna aliyepata?

mmh baba hela ya ghafla ina uzalendo kweli?leo hii kila ct ina budget ndo ghafla uambiwe laki inakatwa..itatoka wapi nawe ubakiwe na ngapi?lazima mshtuko utokee

pole sana kwa mshutuko! sie tupo na biashara zetu za genge, tunauza nyanya, dagaa, samaki nk nk! sie hatuelewi loan board, sie tunalewa vicoba hata saccos tumeshasahau sasa hv! unajua nchi yetu ya matukio, msimu uliopita saccos ilibamba, msimu huu vicoba inatubamba, sie tunakuaga na ile inayobamba!
 
Najua na ndo maana sibishi kulipa,nachopingana nacho ni hizo terms,na how wanibane kwenye % ya kulipa?while kuna wanaolipa elfu 10 tu kwa mwezi...sisi laki how?

mkuu unajali nini so ndoutamaliza haraka deni hilo, mimi nilishapigwa penati mda mrefu na wamekata mwaka sasa nimezoea!
 
hakuna kuandika barua kupinga amount hiyo?

Kutokana na maelezo yako ya awali wewe mwenyewe huijui amount unayodaiwa - sasa utaandika kupinga kiasi walichotaja wao kwa kigezo gani? Labda badala ya kuandika kupinga uandike kutaka maelezo ya kiasi unachodaiwa. - au ikiwezekana uende kabisa ofisini kwao.
 
NImepokea Barua leo from Loan Board inayonitaka kuanza kulipa mkopo walionipa.Nakumbuka wakati issue ya mkopo inaanzishwa sisi ndo tulikuwa mwaka wa mwisho so ikawa ni favour kwa wote..sio hii ya leo ya kuapply kwa nguvu zote.cha kuuliza hapa si kwanini nilipe no bali ni amount ilivyoainishwa..nimepewa deni nalodaiwa mfano 3,400,000/ ,penalty ...... total ......na wameniwekea na asilimia nayotakiwa kukatwa ni 8% ya mshahara wangu starting this month.
1. Nitakuwa na uhakika gani kwamba hiyo amount ndio nayodaiwa
2. Je penalty ni ya nini while hatukuwekeana time frame
3. Watanipangiaje 8% while hatukuwa na mkataba huo..na watajuaje kama tayari sina makato mengi ya mshahara wangu kiasi cha kuweza kulipa hiyo amount?

lipa tu kaka,na wengine wote lipeni.....hizo loan ni mlizochukua ndio mmewekeza kwenye elimu iliyowafikisha hapo mlipo....haina tofauti na mfanyabiashara anapokopa kuwekeza....wengine hatukupata loan tumelipa wenyewe ni ngumu sana...shukuruni mlipata loan na muonyeshe shukrani kwa kulipa....
 
Kutokana na maelezo yako ya awali wewe mwenyewe huijui amount unayodaiwa - sasa utaandika kupinga kiasi walichotaja wao kwa kigezo gani? Labda badala ya kuandika kupinga uandike kutaka maelezo ya kiasi unachodaiwa. - au ikiwezekana uende kabisa ofisini kwao.

thanks na maelezo niliyoyapata pia ni haya kwamba niandike barua ya kuomba clarification..nimeshaiandika iko kwa HR nw
 
mkuu unajali nini so ndoutamaliza haraka deni hilo, mimi nilishapigwa penati mda mrefu na wamekata mwaka sasa nimezoea!

du bora deni la benk unajicomit kwa kuwa tayari na amount utakayokatwa so unakuwa hata kimaisha umeshajitune..nakopa hii nitakatwa hii
 
Mtu yeyote anayebisha au kukwepa kulipa mkopo,huyo ni msaliti. Mimi nilisoma miaka ya zamani lakini kwa sasa ninavojua ukilipa mkopo unampa nafasi mtoto wa maskini mwingine kupewa hizo pesa ambazo utakuwa umerudisha. Jamani hakuna haja ya kuwasema na kuwatukana mafisadi kama sisi wenyewe hatuoni kuwa kutorudisha mikopo tulokopeshwa ni ufisadi na usaliti. Tunawanyima nafasi maskini wengine kusaidiwa kupata elimu ya juu. KOPA MKOPO,LIPA DENI.
 
Mtu yeyote anayebisha au kukwepa kulipa mkopo,huyo ni msaliti. Mimi nilisoma miaka ya zamani lakini kwa sasa ninavojua ukilipa mkopo unampa nafasi mtoto wa maskini mwingine kupewa hizo pesa ambazo utakuwa umerudisha. Jamani hakuna haja ya kuwasema na kuwatukana mafisadi kama sisi wenyewe hatuoni kuwa kutorudisha mikopo tulokopeshwa ni ufisadi na usaliti. Tunawanyima nafasi maskini wengine kusaidiwa kupata elimu ya juu. KOPA MKOPO,LIPA DENI.
 
Mtu yeyote anayebisha au kukwepa kulipa mkopo,huyo ni msaliti. Mimi nilisoma miaka ya zamani lakini kwa sasa ninavojua ukilipa mkopo unampa nafasi mtoto wa maskini mwingine kupewa hizo pesa ambazo utakuwa umerudisha. Jamani hakuna haja ya kuwasema na kuwatukana mafisadi kama sisi wenyewe hatuoni kuwa kutorudisha mikopo tulokopeshwa ni ufisadi na usaliti. Tunawanyima nafasi maskini wengine kusaidiwa kupata elimu ya juu. KOPA MKOPO,LIPA DENI.

Duuuuu
 
Back
Top Bottom