mmh baba hela ya ghafla ina uzalendo kweli?leo hii kila ct ina budget ndo ghafla uambiwe laki inakatwa..itatoka wapi nawe ubakiwe na ngapi?lazima mshtuko utokee
Najua na ndo maana sibishi kulipa,nachopingana nacho ni hizo terms,na how wanibane kwenye % ya kulipa?while kuna wanaolipa elfu 10 tu kwa mwezi...sisi laki how?
hakuna kuandika barua kupinga amount hiyo?
NImepokea Barua leo from Loan Board inayonitaka kuanza kulipa mkopo walionipa.Nakumbuka wakati issue ya mkopo inaanzishwa sisi ndo tulikuwa mwaka wa mwisho so ikawa ni favour kwa wote..sio hii ya leo ya kuapply kwa nguvu zote.cha kuuliza hapa si kwanini nilipe no bali ni amount ilivyoainishwa..nimepewa deni nalodaiwa mfano 3,400,000/ ,penalty ...... total ......na wameniwekea na asilimia nayotakiwa kukatwa ni 8% ya mshahara wangu starting this month.
1. Nitakuwa na uhakika gani kwamba hiyo amount ndio nayodaiwa
2. Je penalty ni ya nini while hatukuwekeana time frame
3. Watanipangiaje 8% while hatukuwa na mkataba huo..na watajuaje kama tayari sina makato mengi ya mshahara wangu kiasi cha kuweza kulipa hiyo amount?
Kutokana na maelezo yako ya awali wewe mwenyewe huijui amount unayodaiwa - sasa utaandika kupinga kiasi walichotaja wao kwa kigezo gani? Labda badala ya kuandika kupinga uandike kutaka maelezo ya kiasi unachodaiwa. - au ikiwezekana uende kabisa ofisini kwao.
mkuu unajali nini so ndoutamaliza haraka deni hilo, mimi nilishapigwa penati mda mrefu na wamekata mwaka sasa nimezoea!
Hawa jamaa Bunge la bajeti likifika tu ndio wanaamka!
Kama una ajira lipa!
Mtu yeyote anayebisha au kukwepa kulipa mkopo,huyo ni msaliti. Mimi nilisoma miaka ya zamani lakini kwa sasa ninavojua ukilipa mkopo unampa nafasi mtoto wa maskini mwingine kupewa hizo pesa ambazo utakuwa umerudisha. Jamani hakuna haja ya kuwasema na kuwatukana mafisadi kama sisi wenyewe hatuoni kuwa kutorudisha mikopo tulokopeshwa ni ufisadi na usaliti. Tunawanyima nafasi maskini wengine kusaidiwa kupata elimu ya juu. KOPA MKOPO,LIPA DENI.