Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
BARUA YA MAREHEMU MAMA KWA MWANAE - SIKU TATU BAADA YA KUZIKWA!!!
Mwanangu Mpendwa,
Nataka ujue kwamba nilikufa kama mwanamke masikini wakati nina Mtoto kama wewe.
Mwanangu, nilitaka kukubariki kabla sijafa, lakini sasa nimeenda na baraka zangu.
Chai ya asubuhi, chakula cha mchana na chakula cha jioni ilikuwa moja ya changamoto zangu nilipokuwa hai, lakini ulitumia pesa kupika vyakula vya kila aina, nyama na aina mbalimbali za vinywaji siku ya mazishi yangu.
Mwanangu, uliipaka maiti yangu kwa kila aina ya manukato ya gharama wakati nilipokuwa hai nilitumia mafuta ya kupikia kama mafuta yangu ya kujipaka kwenye mwili wangu
Ulivisha Maiti yangu kitambaa cha gharama wakati ilikuwa vigumu kuninunulia kanga.
Maiti yangu ilipokuwa Chumba cha Maiti ulikuja kuniangalia mara kwa mara, unajali Maiti yangu kuliko nilipokuwa hai kwanini?
Jambo chungu zaidi ni aina ya jeneza la gharama uliloweka Maiti yangu wakati niliishi kwenye nyumba ambayo haijakamilika nikiwa hai na nilikuwa nikilalia godoro lililochakaa sana
Ulipokuwa mdogo nilikuwa nikishinda na njaa ili upate kula na kushiba, nilikuwa nikivaa kanga moja ili kukupatia nguo za kutosha. Nilidhani utanitunza nikizeeka.
Ulimaliza nyumba, ukaipaka rangi na ukasafisha kiwanja ndani ya wiki moja ili tu kusherehekea Maiti yangu.
Na ukaandika kwa heshima ukisema "Mama, nakupenda sana pumzika kwa amani" - wakati nimekufa kwa moyo uliovunjika.
Hatimaye, mwanangu, niliandika haya kukukumbusha kwamba hakuna mtu mwingine anayependa mtoto kama mama.
Mungu Akusamehe, Nakupenda sana Mwanangu
Ikiwa Unampenda Mama yako, Tafadhali Usipite Bila kuandika Nakupenda Mama ❤️❤️❤️
Nataka ujue kwamba nilikufa kama mwanamke masikini wakati nina Mtoto kama wewe.
Mwanangu, nilitaka kukubariki kabla sijafa, lakini sasa nimeenda na baraka zangu.
Chai ya asubuhi, chakula cha mchana na chakula cha jioni ilikuwa moja ya changamoto zangu nilipokuwa hai, lakini ulitumia pesa kupika vyakula vya kila aina, nyama na aina mbalimbali za vinywaji siku ya mazishi yangu.
Mwanangu, uliipaka maiti yangu kwa kila aina ya manukato ya gharama wakati nilipokuwa hai nilitumia mafuta ya kupikia kama mafuta yangu ya kujipaka kwenye mwili wangu
Ulivisha Maiti yangu kitambaa cha gharama wakati ilikuwa vigumu kuninunulia kanga.
Maiti yangu ilipokuwa Chumba cha Maiti ulikuja kuniangalia mara kwa mara, unajali Maiti yangu kuliko nilipokuwa hai kwanini?
Jambo chungu zaidi ni aina ya jeneza la gharama uliloweka Maiti yangu wakati niliishi kwenye nyumba ambayo haijakamilika nikiwa hai na nilikuwa nikilalia godoro lililochakaa sana
Ulipokuwa mdogo nilikuwa nikishinda na njaa ili upate kula na kushiba, nilikuwa nikivaa kanga moja ili kukupatia nguo za kutosha. Nilidhani utanitunza nikizeeka.
Ulimaliza nyumba, ukaipaka rangi na ukasafisha kiwanja ndani ya wiki moja ili tu kusherehekea Maiti yangu.
Na ukaandika kwa heshima ukisema "Mama, nakupenda sana pumzika kwa amani" - wakati nimekufa kwa moyo uliovunjika.
Hatimaye, mwanangu, niliandika haya kukukumbusha kwamba hakuna mtu mwingine anayependa mtoto kama mama.
Mungu Akusamehe, Nakupenda sana Mwanangu
Ikiwa Unampenda Mama yako, Tafadhali Usipite Bila kuandika Nakupenda Mama ❤️❤️❤️