Barua ya wazi kwa Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi: Manung'uniko ya Waislamu lazima yafanyiwe kazi

Tatizo mnaichagua ccm ikataeni ili yafutike haya, mtaendelea kuburuzwa na kulalamika Hadi mwisho
 
Mleta mada huwa anapenda kujitutumua kujitia mjuzi kumbe bwege tu mchochezi siku zote asiye na hoja za maana.

Kila siku anajidai ohh TISS walione hili ,oh Raisi

Huyu Ni Chadema frustrated Sana maisha kapigika
Bwege ni wewe.
 
Kuichagua ccm ni kuchagua mateso yenu.
Mara masheik wanakamatwa,ubaguzi kwenye teuzi,elimu nini hii sasa.
 

Well said!
Thanks
 
Reactions: SMU
SUALA LA ELIMU WAISLAMU WENGI HAWALIPI KIPAUMBELE TUACHENI KUSINGIZIA WAKRISTO. ELIMU DUNIA SI KIPAUMBELE KWETU. KWA NINI TUNAFUCHA UDHAIFU?
Una uhakika na hili au umekaririshwa?
nini? Ikiwa huna umakini katika mabandiko ya nini kutumia herufi kubwa tuone wajua kuandika?
Oooh nilisahau "hata wa la saba mnatosha!"
 
Hujajua dini yangu ni ipo hivyo huna moral authority ya kuizungumzia...nadhani kwa haraka haraka tatizo linalokusumbua wewe ni pamoja na kundi kubwa la watu wa aina yako kiupeo, ambao nadhani mlimezeshwa sana elimu ya akhera zaidi na mkasahau kwamba ili kufika huko ni lazima mpitie duniani of whom elimu dunia hamkuandaliwa...pole sana Subiri mambo ya uchaguzi yakiisha basi serikali itakujengea msikiti wa kitaifa ambao utakua imamu na utaruhusiwa kuuongoza na kuingiza kwenye uongozi watu wa aina yako! Ila kwa kuwa wewe umeshachelewa basi usimnyime mwanao elimu isije kuwa tena naye akaja kuwa na mentality kama yako baadaye!
 
True,tatizo sio mfumo elimu Kikristo
Tatizo tuliharibu mifumo ya elimu tukaleta elimu siasa badala ya elimu vitendo elimu ujasilimali ili watu watumie fursa.
Mafundisho ya uislam yamekamilika kila idara hata kwenye nadharia za uongozi huwa awaumizi na kukomoa watu, nadharia zao zimesimama kwenye maendeleo ya watu na sio vitu.
 

Kejeli na vijembe vya hivi tumeshavizoea.

Lakini Waislamu wataendelea kudai haki yao nchini, haiwezekani teuzi na ajira za 80% kwa watu wa dini moja na wengine only 20%. Hii siyo fair ni ufini huu!

Waislamu hawawezi kukatishwa tamaa kutaka usawa katika nchi kwa kauli za namna hii!
 
Naona hata nawe kuna kitu umemezeshwa. Na ni kawaida ya mtumwa yeyote wa nafsi kuimba asichokijua. Leo hii ni karne ya 21 bado mmejirudisha miaka ya 60 huku mkisahau wakati bado babu zenu wanasheta maporini Tanga ndiko kulikuwa na shule ya kwanza kwa elimu ya kizungu na kabla ya hapo mnajisahaulisha kwamba hao mnaowaona leo hawana elimu ndio waliojua kusoma na kuandika mikataba na barua... alau nenda makumbusho kisha uje na hizo propaganda zenu humu.
 
Yaani ndugu yangu wewe hata akili yako hupendi kuishughulisha.yaani maneno machache hayo nayo unataka ukariri? Kusoma hujui hata kuangalia picha?

Mficha maradhi mauti humuumbua. Mimi nmekulia kibiti, nenda maneremango ,nenda mchukwi wananifahamu. Ni mkazi wa pwani.nafahamu jinsi ambavyo nime struggle mimi kusoma tena kwa msaada wa kafirs.sisi wasafi tumefungua madrasa nyingi sana huko kwetu siyo shule.misikiti ipo mingi si jambo baya but tuna shule chache sana za kwetu. Hata hiyo hospital ya mchukwi imejengwa kati kati ya waislamu ikiwa ni ya Kanisa.

Tusijazane ujinga. Nmekaa bagamoyo,vikindu n.k nmefanya projects nyingi na mashirika mbalimbali kuhamasisha watu wa pwani ambao asilimia 90 ni waislamu waende shule.nafahamu ninachoongea.mimi elimu imenisaidia kiasi kwamba siangalii mambo kwa jicho la kidini.naangalia kwa uhalisia.

Nmesoma shule ya sekondari kibiti miaka hiyo asilimia kubwa walikuwa ni wageni si wakazi wa pale ndo walikuwa wanasoma.nlianza na wenzangu 8 shulenj tulimaliza wawili.sita waliiishia form 2. Hao wanaume. Wasichana walikuwa 14 ninaowafahamu waliomaliza form 4 walikuwa 3 wengine waliaolewa wakiwa form 2 na form 1. Waliozwa baada ya kuvunja ungo.

So nakwambia ninachokifahamu. Kwa maeneo nliyoishi.kibiti,vikindu,maneromango,samvula chole,bagamoyo,ruvu,kibaha na hata dar. Wenyeji ni wazaramo.angalia wangapi wana elimu ya maana? Wangapi wana maisha mazuri.

Waliojenga wengi Dar ni Wasukuma,Wanyakyusa,Wachaga,Wahaya na Wakinga miaka hii. Ndo ambao utaona wamejitawanya dar. Ukiacha wahindi kule posta na waarabu kiasi flan mitaa ya ilala,magomeni na kinondoni.

Mimi naifahamu dar kijana,nafahamu maeneo mengi na mambo mengi.
Una uhakika na hili au umekaririshwa?
nini? Ikiwa huna umakini katika mabandiko ya nini kutumia herufi kubwa tuone wajua kuandika?
Oooh nilisahau "hata wa la saba mnatosha!"
 
Chief ujue una ghubu? Umeachwa? Maana huambiliki ati! Umeniganda kama luba sijui kama umekumbuka hata swala ya alfajiri..
 
Pingeni dhuluma October kukomesha yote haya yasijirudie, tupinge ukanda, ukabila, udini kwenye teuzi.
 
Umenena vyema...kisha hawa hawa wanataka wapewe hisani ya dini kwenye so called keki ya taifa ha ha haaaa.... Huyu bwana anapaswa kupewa tu futari na si keki ya taifa kama anavyoidai
 
CCM NI WATU WA AJABU SANA. NASIKIA HUKO KILOLO, IRINGA WAMEIKARIBISHA FAMILIA YA MZEE MMOJA ALIWAHI KUWA MTUMISHI ASIYE MWAMINIFU WA KANISA FULANI KUBWA TU LENYE WAUMINI WENGI IRINGA MJINI NA WILAYANI KILOLO ILI WAWAPE UBUNGE. HII FAMILIA NA NDUGU YAO WAMEIBA PALE CHUO KIKUU CHA IRINGA, ZAMANI CHUO KIKUU TUMAINI HADI CHUO KINAFILISIKA. NAWAONEA HURUMA HAO NDUGU ZANGU NA WATANI ZANGU WA KILOLO. NI SAWA NA KUMWACHIA FISI BUCHA. HAWA JAMAA NASIKIA WANA SIFA ZA UZINZI, TABIA MBAYA ZOTE WANAZO. NASIKIA KAMA SI BUSARA TU ZA KANISA HUYO MZEE WA FAMILIA ANGEFUNGWA KWA UBADHIRIFU KANISANI. NASIKIA PIA HADI SASA YUPO CHINI YA UCHUNGUZI WA TAKUKURU KWA WIZI WA MALI NA FEDHA ZA CHUO HICHO KINACHOMILIKIWA NA HILO KANISA LINALOAMINI WOKOVU KWA NJIA YA IMANI KATIKA YESU KRISTO NA KATIKA INJILI YA YESU KRISTO AOKOAYE. NI KANISA LENYE MCHANGO MKUBWA KWA MAENDELEO YA KIMWILI NA KIROHO HASA IRINGA MJINI, IRINGA VIJIJINI NA WILAYA YA KILOLO. NI KANISA LILILOANZISHWA NA WAMISIONARI TOKA UJERUMANI.
 
SIJUI KAMA NI KWELI ILA NASIKIA HUYU KATIBU MKUU AMETAMKA WAZI KWAMBA WANATUMIA DOLA KUTAWALA NCHI NA KWAMBA WAMEJIFUNZA KWA NCHI ZILIZOSHINDWA KUTUMIA DOLA KUTAWALA WALIONDOLEWA MADARAKANI NA HAJAWAHI KURUDI TENA KURUDI MADARAKA. AMESEMA WAO HAWATAFANYA KOSA HILO BALI WATATUMIA DOLA KISAWASAWA KUTAWALA. HII NI KAULI NZITO TOKA KWA MTU MZITO. NASHANGAA KAMA NI KWELI KWA NINI HAJACHUKULIWA HATUA STAHIKI
 
Tayari ushapagawa jikite kwenye hoja Mkuundugu yangu
Nafikiri unanishawishi nikupandishe mori ili ukajilipue mkuu na mimi siko tayari kumpoteza mpiga kura hivyo basi suala la keki ya taifa achana nalo hadi siku ya Idi tutakumegea kidogo muhimu sasa hakikisha umechagua mgombea nayefaa ...sawa sawa?
 
Nafikiri unanishawishi kiupandishe mori ili ukajilipue mkuu na mimi siko tayari kumpoteza mpiga kura hivyo basi suala la keki ya taifa achana nalo hadi siku ya Idi tutakumegea kidogo muhimu sasa hakikisha umechagua mgombea nayefaa ...sawa sawa?

Akijilipua mbele yako hautobaki salama, na wanaomzunguuka hawatobaki salama, cha msingi tetea haki ya wote ili watu wa kujilipua wasiwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…