Barua ya wazi kwa Boniface Mwamposa

Kumbuka aliwahi kusababisha vifo huko Moshi, japo polisi walitumia mbwembwe nyingi kumkamata lakini walimuachia na jambo lake likaisha kama vile hakuna waliofariki.
 
Mungu ni mwanasiasa wa kwanza ndio maana akina Daudi, Musa, Elia na kina Yusufu na Daniel Abednego na Meshaki walikuwa wanasiasa japo wa upinzani
 
Reactions: UCD
Na mbunge wa Kawe naye kupitia Chadema!
 
A

Alikuibia nini mkuu? na au alikutapeli nini? Hebu Tuambie
Kudanganya watu eti anaponya, which is not true. Anwadanganya watu wajinga masikini. Ni wizi kwa njia ya udangannyifu. Kosa la Jinai na Mungu hawezi kuwa naye maana ni uongo. Mwambie aende Muhimbili aponye wagonjwa.....
 
Mtumishi wa Mungu yupi?
 
umesema Mwamposa ni mtumishi wa Mungu?

Mtumishi wa Mungu amewekwa ili awarejeshe watu kwa Mungu, atakemea maovu yanapotokea, ataonya pale penye kuonya, sasa mtumishi amekomaa kuipamba serikal kuwapamba viongozi na watawala hata pale anaona mambo yanaenda tofauti na inavyotakiwa
 
Tatizo akinyimwa kibali cha kufanya hiyo kazi, zile nguvu za miujiza huwa zinapotea; angalia waliomtangulia.
Mwisho wa siku utajiuliza zile nguvu ni za mungu au ni za nani? muhimu kula na kipofu tu.​
 
Huyo ni mtumishi wa sheytwani , mdanganyifu na ni mfanyabiashara haramu wa mafuta na maji ya upako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…