Barua ya wazi kwa Club ya Simba: Simba Sports Club

Barua ya wazi kwa Club ya Simba: Simba Sports Club

kasanga70

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
222
Reaction score
515
Wasalaam,
Jana nimetoka Lusaka nipo iringa now. Haya ndio niliyoyasikia kwa masikio yangu. Mnajua wazambia wanapenda sana mpira.
Wanasema hivi;
1. Ukitaka kuifunga simba cheza cross nyingi sana utapata magoli. Mabeki wake hawajui KBS kucheza cross hasa baada ya kukimbizwa na mawinga. Red arrows wameambiwa hivo mjipange.

2. Simba wakishinda goli moja au mbili second half huwa wanarelax wanacheza kwa uvivu sana marking inapungua. They play biriani....huo ndio muda Wa kupata magoli.

3. Currently, the only striker with ability to hold and possess the ball is only Mugalu, and he is not going to play in the coming game....so wanasema mabeki wao watakuwa na uwezo Wa kunyang'anya mipira kirahisi kwa strikers na viungo wengi wa simba kwa sasa na kupiga mipira mirefu kwa wings then wanapiga cross mchezo unaisha...

4. Mwisho. Game zote tano za simba za mwisho wamezifatilia na kumchambua kila mchezaji

Haya mjipange....ni hayo tuu kazi kwenu yachukueni au muyaache
 
Wasalaam,
Jana nimetoka Lusaka nipo iringa now. Haya ndio niliyoyasikia kwa masikio yangu. Mnajua wazambia wanapenda sana mpira.
Wanasema hivi;
1. Ukitaka kuifunga simba cheza cross nyingi sana utapata magoli. Mabeki wake hawajui KBS kucheza cross hasa baada ya kukimbizwa na mawinga. Red arrows wameambiwa hivo mjipange.

2. Simba wakishinda goli moja au mbili second half huwa wanarelax wanacheza kwa uvivu sana marking inapungua. They play biriani....huo ndio muda Wa kupata magoli.

3. Currently, the only striker with ability to hold and possess the ball is only Mugalu, and he is not going to play in the coming game....so wanasema mabeki wao watakuwa na uwezo Wa kunyang'anya mipira kirahisi kwa strikers na viungo wengi wa simba kwa sasa na kupiga mipira mirefu kwa wings then wanapiga cross mchezo unaisha...

4. Mwisho. Game zote tano za simba za mwisho wamezifatilia na kumchambua kila mchezaji

Haya mjipange....ni hayo tuu kazi kwenu yachukueni au muyaache
Haitawasaidia hiyo,Kwa Sababu hayo mambo yalikuwa Kipindi Cha Gomez lakini Kwa Sasa Kuna Mwalimu Mwingine Mwenye falsafa zake mbinu na itikadi kisoka.
 
Waambie pia ukitaka kuwafunga Simba cheza mpira wa speed maana wachezaji wao wengi umri UMESEPA watatema nyongo wenyewe.
 
Achana na habari za hao wazambia, sisi sahivi tunakocha la Getafe.
Hivi home boy ulishakutana na formation hizi kwenye futbol,4-1-4-1 au hii 4-2-3-1 sasa hizi ndio za kispanish yani juzi tu Ruvu tumewapa kionjo cha hiyo ya pili na wakala 3 kwa moya.

Maana yangu ni kwamba sasa hivi mtu akikutana na Simba ni either ale kichapo cha 4 moya au 3 moya na hii ni kutokana na formation za kocha wetu.Sitaki niseme mengi nadhani Ruvu ni wameliona hilo.Sasa andika pia barua ya wazi kwa Red arrows kwamba mje tu tuwafunge kwa maana sisi ndio machampion wa shirikisho msimu huu.

Kingine hatuna cha slogan msimu huu ila mtu atakuwa anachapika kimya kimya na hii itakuwa funzo kwa wote wanaopenda kupayuka
 
Achana na habari za hao wazambia, sisi sahivi tunakocha la Getafe.
Hivi home boy ulishakutana na formation hizi kwenye futbol,4-1-4-1 au hii 4-2-3-1 sasa hizi ndio za kispanish yani juzi tu Ruvu tumewapa kionjo cha hiyo ya pili na wakala 3 kwa moya.

Maana yangu ni kwamba sasa hivi mtu akikutana na Simba ni either ale kichapo cha 4 moya au 3 moya na hii ni kutokana na formation za kocha wetu.Sitaki niseme mengi nadhani Ruvu ni wameliona hilo.Sasa andika pia barua ya wazi kwa Red arrows kwamba mje tu tuwafunge kwa maana sisi ndio machampion wa shirikisho msimu huu.

Kingine hatuna cha slogan msimu huu ila mtu atakuwa anachapika kimya kimya na hii itakuwa funzo kwa wote wanaopenda kupayuka
Mlisema hivo hivolkn mkapigwa 3-1 kama mmesimama.

Ndugu mleta mada Tena waambieni hao Mishale myekundu waanze kurusha mishale wakiwa mbali maana pale golini kuna shati tu.

Pili waambie wacheze mpira wa kasi first half alafu second half walinde, hakuna mtu pale wa kufunga.

Waambie tena waimarike kati maana akna Lwanga na Kanoute hawawezi kuhimili pressure.
 
Barua ya WIZI kwa club ya jangwani

Nimetoke mkoani mbeya leo asubuhi huwezi amini nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu
Mbeya kwanza wanasema

1.ukitaka kuwafunga yanga ongea vizuri na manara maana ana degree ya usaliti

2.Jiandae kisaikologia maana marefa wana kiu pesa ya magodoro

3.wapakulie biriani wachezaji watajisahau maana wana stress za mikataba

4.komaa na Fei Salum pekee maana ndio hilizi ya team
 
Mlisema hivo hivolkn mkapigwa 3-1 kama mmesimama.

Ndugu mleta mada Tena waambieni hao Mishale myekundu waanze kurusha mishale wakiwa mbali maana pale golini kuna shati tu.

Pili waambie wacheze mpira wa kasi first half alafu second half walinde, hakuna mtu pale wa kufunga.

Waambie tena waimarike kati maana akna Lwanga na Kanoute hawawezi kuhimili pressure.
Kipindi kile kocha si hakuepo.Sasa hivi tuna kocha la kidunia.

Sema nkwambie kitu home boy, hivi Airport siku hizi mumeacha kwenda sio?
 
Achana na habari za hao wazambia, sisi sahivi tunakocha la Getafe.
Hivi home boy ulishakutana na formation hizi kwenye futbol,4-1-4-1 au hii 4-2-3-1 sasa hizi ndio za kispanish yani juzi tu Ruvu tumewapa kionjo cha hiyo ya pili na wakala 3 kwa moya.

Maana yangu ni kwamba sasa hivi mtu akikutana na Simba ni either ale kichapo cha 4 moya au 3 moya na hii ni kutokana na formation za kocha wetu.Sitaki niseme mengi nadhani Ruvu ni wameliona hilo.Sasa andika pia barua ya wazi kwa Red arrows kwamba mje tu tuwafunge kwa maana sisi ndio machampion wa shirikisho msimu huu.

Kingine hatuna cha slogan msimu huu ila mtu atakuwa anachapika kimya kimya na hii itakuwa funzo kwa wote wanaopenda kupayuka
Formation hazichezi, wanacheza wachezaji.
 
Haitawasaidia hiyo,Kwa Sababu hayo mambo yalikuwa Kipindi Cha Gomez lakini Kwa Sasa Kuna Mwalimu Mwingine Mwenye falsafa zake mbinu na itikadi kisoka.
.....Wachezaje je wamebadilika au ni wale wale ndugu?
 
Formation hazichezi, wanacheza wachezaji.
Kweli! kweli! sema umeona kabumbu tunalopiga sasa hivi? Mi sipendi kutia chumvi hapa ila juzi nlibahatika kukutana afisa mmoja wa Caf hapa Cairo kanieleza kwamba kwa jinsi anavyoiona Simba sasa hivi baada ya mabadiliko ya kiufundi katika coaching amesema kama Simba akifuzu group stage(kitu ambacho kinaenda kutokea) pia Pyramids na Mazembe basi amesema watakuwa na kazi ya kutafuta timu moja kuungana na hizi timu hili wapange nusu fainali ya kombe la shirikisho.

Na hii ni kutokana kwamba kuna uwezekano mkubwa wale wenye Corona yao wakatoa toleo jipya mwezi Disemba ambalo litakuwa hatari sana kupita matoleo ambayo yapo sokoni sasa hivi.Kwahiyo timu zote zimefahamishwa kwamba baada ya kufika group stage itatafutwa timu moya ambayo itacheza na Simba au Mazembe au Pyramids kwenye semifinal
 
Kweli! kweli! sema umeona kabumbu tunalopiga sasa hivi? Mi sipendi kutia chumvi hapa ila juzi nlibahatika kukutana afisa mmoja wa Caf hapa Cairo kanieleza kwamba kwa jinsi anavyoiona Simba sasa hivi baada ya mabadiliko ya kiufundi katika coaching amesema kama Simba akifuzu group stage(kitu ambacho kinaenda kutokea) pia Pyramids na Mazembe basi amesema watakuwa na kazi ya kutafuta timu moja kuungana na hizi timu hili wapange nusu fainali ya kombe la shirikisho.

Na hii ni kutokana kwamba kuna uwezekano mkubwa wale wenye Corona yao wakatoa toleo jipya mwezi Disemba ambalo litakuwa hatari sana kupita matoleo ambayo yapo sokoni sasa hivi.Kwahiyo timu zote zimefahamishwa kwamba baada ya kufika group stage itatafutwa timu moya ambayo itacheza na Simba au Mazembe au Pyramids kwenye semifinal
Ahahahaha
 
Back
Top Bottom