muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,202
hahaaa,[emoji16],upinde mwekundu mkiani.Vyovyote vile itakavyokuwa taifa linaenda kuumbuka tena wikiend hii..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaa,[emoji16],upinde mwekundu mkiani.Vyovyote vile itakavyokuwa taifa linaenda kuumbuka tena wikiend hii..
hata mwezi Hana,tatizo la Simba sio kocha,ni wachezaji hawana viwango ama wengine vime poromoka.Haitawasaidia hiyo,Kwa Sababu hayo mambo yalikuwa Kipindi Cha Gomez lakini Kwa Sasa Kuna Mwalimu Mwingine Mwenye falsafa zake mbinu na itikadi kisoka.
Kama tatizo Sio kocha ni wachezaji,basi kocha atatumia mbinu za kuwa coach wachezaji Kwa ajiri ya kupata ushindi.hata mwezi Hana,tatizo la Simba sio kocha,ni wachezaji hawana viwango ama wengine vime poromoka.
Vyovyote vile itakavyokuwa taifa linaenda kuumbuka tena wikiend hii..
nyie mnachoweza ni UKABWILIsimba bora tu wasiende uwanjani
Mmmmh haya Nyodo hizo tusijekutafutana kwa tochi humu.Achana na habari za hao wazambia, sisi sahivi tunakocha la Getafe.
Hivi home boy ulishakutana na formation hizi kwenye futbol,4-1-4-1 au hii 4-2-3-1 sasa hizi ndio za kispanish yani juzi tu Ruvu tumewapa kionjo cha hiyo ya pili na wakala 3 kwa moya.
Maana yangu ni kwamba sasa hivi mtu akikutana na Simba ni either ale kichapo cha 4 moya au 3 moya na hii ni kutokana na formation za kocha wetu.Sitaki niseme mengi nadhani Ruvu ni wameliona hilo.Sasa andika pia barua ya wazi kwa Red arrows kwamba mje tu tuwafunge kwa maana sisi ndio machampion wa shirikisho msimu huu.
Kingine hatuna cha slogan msimu huu ila mtu atakuwa anachapika kimya kimya na hii itakuwa funzo kwa wote wanaopenda kupayuka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ona huyu KABWILI
Sisi tupo tu siku zote na kuwafunga hawa jamaa ni jambo la kawaida kwetu sema tu hofu yetu ni wale washika vibuyu hiyo Disemba 11.Mmmmh haya Nyodo hizo tusijekutafutana kwa tochi humu.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app