Barua ya wazi kwa Club ya Simba: Simba Sports Club

Haitawasaidia hiyo,Kwa Sababu hayo mambo yalikuwa Kipindi Cha Gomez lakini Kwa Sasa Kuna Mwalimu Mwingine Mwenye falsafa zake mbinu na itikadi kisoka.
hata mwezi Hana,tatizo la Simba sio kocha,ni wachezaji hawana viwango ama wengine vime poromoka.
 
Unagusa, unaachia...

Mishale myekundu; njia pekee ya kumzuia mnyama ni ama asije uwanjani, au, bahati iwabebe.
 
Mmmmh haya Nyodo hizo tusijekutafutana kwa tochi humu.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…