Barua ya wazi kwa Dkt. David Mnzava the Medical council of Tanganyika "Secretary and registrar"(The MCT registrar and secretary of the board)

Barua ya wazi kwa Dkt. David Mnzava the Medical council of Tanganyika "Secretary and registrar"(The MCT registrar and secretary of the board)

Sijaelewa ufafanuzi wa hizo kozi juu au ufafanuzi wa kozi ulizoandika...
Anyway..
Doctor of medicine (MD) .{au kama ulivyoandika Bachelor degree in medical doctor} Ni kozi inayoandaa wataalamu wa Afya kufanya Matibabu kwa wagonjwa ikiwemo kufanya upasuaji wa dharula na unaoruhusiwa kulingana naa elimu yake kisheria
Na Doctor of dental surgery (DDS) {au kama ulivyoandika Bachelor degree in Dental surgery} Ni kozi imayoandaa wataalamu wa Afya kufanya matibabu ya kinywa na Menu ikiwemo kufanya shughuli za upasuaji wote wa Kinywa na meno....

Doctor of Medicine huitwa Medical Doctor au medical officer while Doctor of dental surgery huitwa Dental Surgeon
Wote wanatambukika kisheria kama Madaktari kamili...
Nafikiri nimejaribu kukudadavulia
Thanks
Asante sana nimekuelewa kwahiyo kulinga na uchumbuzi wako wote ni madaktari ila naomba kujua Kwa uzoefu wako kulingana na uhitaji na soko la ajira yupi Yuko marketable
 
Sijaelewa ufafanuzi wa hizo kozi juu au ufafanuzi wa kozi ulizoandika...
Anyway..
Doctor of medicine (MD) .{au kama ulivyoandika Bachelor degree in medical doctor} Ni kozi inayoandaa wataalamu wa Afya kufanya Matibabu kwa wagonjwa ikiwemo kufanya upasuaji wa dharula na unaoruhusiwa kulingana naa elimu yake kisheria
Na Doctor of dental surgery (DDS) {au kama ulivyoandika Bachelor degree in Dental surgery} Ni kozi imayoandaa wataalamu wa Afya kufanya matibabu ya kinywa na Menu ikiwemo kufanya shughuli za upasuaji wote wa Kinywa na meno....

Doctor of Medicine huitwa Medical Doctor au medical officer while Doctor of dental surgery huitwa Dental Surgeon
Wote wanatambukika kisheria kama Madaktari kamili...
Nafikiri nimejaribu kukudadavulia
Thanks
Asante sana nimekuelewa kwahiyo kulinga na uchumbuzi wako wote ni madaktari ila naomba kujua Kwa uzoefu wako kulingana na uhitaji na soko la ajira yupi Yuko marketable
 
Asante sana nimekuelewa kwahiyo kulinga na uchumbuzi wako wote ni madaktari ila naomba kujua Kwa uzoefu wako kulingana na uhitaji na soko la ajira yupi Yuko marketable
Nop nahisi umechanganya Katika vitu viwili Hapo juu nilizungumzia kuhusu MD Pamoja na bsc in clinical medicine surgery ila nadhani ulichouliza wwe ni kuhusu kozi ya DDS Na MD ni vitu viwili tofauti kabisa

DDS Na MD/MBBS hutambuliwa kama madaktari
Hawa AHP ambao wamepewa jina la allied health practitionee ni wale waliosoma Bsc in Clinical medicine and surgery na ndo hao walioandika barua watambuliwe kama Madktari kamili kama MBBS/MD/DDS
....
Nijibu swali lako kimantiki kwamba kwamba hao AHP NA MD nani yuko marketable kwa sasa ni MD ila watakaporuhusu wawe madaktri kamili hii AHP itakuwa marketble kuliko MD kwa sababu wao wanaweza kutibu clinically zaidi na wanaweza kuishi vijijini kwani MD wengi sisi hatupendi kukaa vijijini
 
Asante sana nimekuelewa kwahiyo kulinga na uchumbuzi wako wote ni madaktari ila naomba kujua Kwa uzoefu wako kulingana na uhitaji na soko la ajira yupi Yuko marketable
Na AHP/ML (Bsc in CM and S) ameanza rasmi kutambuliwa Tz nadhani kama sikosei mwaka jana kama sio juzi Samvurah atanisahihisha kama ntakosea ila japo Bado wanatambuliwa kama Madaktari wasaidizi japo huiitwa Daktari kisheria kwahyo wao walitaka watambuliwe kama Madaktari kamili kwakuwa wanavigezo sawa kuwa madakatri kamili na sio wasaidizi
 
Asante sana nimekuelewa kwahiyo kulinga na uchumbuzi wako wote ni madaktari ila naomba kujua Kwa uzoefu wako kulingana na uhitaji na soko la ajira yupi Yuko marketable
Mimi hapa sijakuelewa. Marketable kwa vipi? Suala la nani marketable halina mantik maana wote wanahitajika sana. Bado kuna upungufu mkubwa katika soko la ajira. Labda kama unazungumzia nani analipwa zaidi. Na kama MD alivyofafanua very likely hao AHP watapendwa zaidi kutokana na uwezo wao wa kufanya kazi katika mazingira. Wasiwasi wangu ni kuwa nao wataanza kunata mara watakapotambuliwa kama madaktari kamili.

Amandla...
 
Back
Top Bottom