Barua ya wazi kwa Ernest Mangu

Barua ya wazi kwa Ernest Mangu

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
1,222
Reaction score
776
Mh igp. Traffic wa arusha wamekuwa wasumbufu sana kwa wananchi. Yani mji umekuwa ni kero kwani askari wako wamekuwa omba omba. Na wakiona umekataa kabisa kutoa rushwa wanalazimisha kuandika fine.

Kwaweli its geting too much kwani wanatafuta makosa kwa udi na uvumba.

Tuaomba uondoe hii aibu kwenye jeshi la polisi
 
Back
Top Bottom