Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh. Kikwete,
Wananchi hawakutaki using'ang'anie madaraka wachukue akina riziwani ,mvuta unga miraji, makamba family, lawrence masha, makongoro mahanga, rostam aziz, karamagi, lowassa na mafisadi wengine na bila kumsahau mkeo mkafanye kampeni kule Bagamoyo. iwe nchi ndogo ndani ya tanzania tuachie Tanzania yetu kama ulivyoikuta. hatutaki umwagikaji wa damu
Umeshaiba mali ya nchi, bagamoyo na chalinze kuna sehemu za starehe mkayafuraie huko. Soma lama za nyakati zinazosema wazi kwamba watanzania hawakutaki, vinginevyo utapeleka nchi pabaya na usultani wako unaomfanya kitambi kilichojaa mavi Ridhiwani naye ajione kama rais. Ungejua wazi kwamba sisi wakurya tunazaliwa wanajeshi kasoro magwanda, hata ulete jeshi lote la wananchi kama hatukutaki ni hatukutaji, kwa hiyo usijidanganye kabisa
Au unasubiri maandamano hadi ikulu? kama ni hivyo basi watu wtaandamani hadi utoke ikulu. Tuna haki ya msingi ya kuandamana, iweje mtangaze mliposhinda waliposhinda upinzani mnakataa kutangaza matokeo? Tanzania ya sasa siyo ya zamani, wewe unaipeleka hii nchi pabaya, nadhani umenisoma vizuri Mkwere, vinginevyo subiri siku familia yako na ya makamba itakapoiona tanzania kuwa chungu
Najua unasoma ma blog, kama hauzisomi, najua wabeba begi wako, hasa Fisadi Chipukizi January Yusuf Makamba, anazisoma. Akufikishie huu ujumbe. Habari ndo hiyo "thatha wigure??
Mtiifu,
Mwita Waitare Magesa a.k.a Fisadi-Original
Tarime, Mkoa wa Mara
Tanzania, East Africa
Africa Continent
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mod, tafadhali chunga staarabu za JF! Hii barua imejaa lugha isiyo ya kiungwana licha ya ujumbe wake kuwa na malengo! Au arekebishe lugha au uifute kabisa, Please for the sake of the JF
Umenena. Wananchi wameichoka ccm na jk (small letters).
Mking'ang'ania kututalawa mwishowenu mbaya.
Kila kitu kina mwisho. Had you been wise, mungeachia ngazi na uchaguzi uwe huru na wa haki. Kwa ukandamizaji huu, there's a price u'll someday pay. Tusubir