Barua ya Wazi kwa Kocha wa Manchester Utd, Jose Mourinho

Barua ya Wazi kwa Kocha wa Manchester Utd, Jose Mourinho

Morinho Ni mpumbav San

Na Ni official kuwa Antonio martial anaenda zake juventus

Wacha aende tu maana morinho anaua vipaji vya wachezaji
 
anataka kupiga mkwanja kwa kuvunjiwa mkataba, ndo maana anafanyo anachojiskia ili atimuliwe
 
hamtaki"" tu kuuelewa ukweli "" lakini Muda ndiye hakimu wa haki ""na inadhihirisha wazi kuwa Muda""" hauwahitaji tena """"Hawa makocha ila wana force tu kuendelea kuwepo kwenye tasnia ya Mpira wa miguu "" nimakocha wakubwa ndio na """"wamevipatia vilabu""" mafanikio lakini wakati wao """umeshapita hawana""" jipya tena lakufnya """ilikutudhihirishia""" uwezo wao """Siku hiz ""wamekuwa"" wanategemea"" ushindi wa bahati mnoo kuliko mipango ya kweli ""

1. Wenger
2 mourinho
3 benitez
4 Carlo Lancelot

hao watu walipaswa kuzipisha damu changa sasa ...wakati wao umepita """
 
huyo Pogba bora hata asingeiingia kaja kufungisha tu fala huyo na Sanchez naye kama mtumishi hewa anazunguka tu uwanjani pumbavu kabisa jose
Mfumo Wa Jose ni mgumu sana kwa Alexis, yaani akabe wakati huo huo aonyeshe uwezo wake haiwezekani, yule analetewa mipira tu, kukaba hakumhusu, nadhani kocha wa Tottenham anaweza kuiokoa man u.
 
Back
Top Bottom